Du hiyo ni mbaya labda ni kwamba wapenzi unaotokea kuwapata hawaendani na wewe either unamtaman kimapenz or anakutaman yeye kimapenzi kingin ni huwa unajiwekaje wewe mwenyewe labda appearance yako boy anakuona kama ni muuzaji tu hilo nalo ni tatizo kwenye mapenz
Usiogop mwanaume cha kuzingatia ni kwamba atatulia na ww maana wengine huwa ni wez na pia mzuie asiwasiliane na mashosti zake maana hao pia ni mlima kwako bro.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.