Recent content by exaud maxmillian

  1. exaud maxmillian

    Ulie tayari kuwa mume na baba kama Mungu akijaalia

    Je akiwa chin ya umri unaoutaka?
  2. exaud maxmillian

    I need relationship advice

    Du hiyo ni mbaya labda ni kwamba wapenzi unaotokea kuwapata hawaendani na wewe either unamtaman kimapenz or anakutaman yeye kimapenzi kingin ni huwa unajiwekaje wewe mwenyewe labda appearance yako boy anakuona kama ni muuzaji tu hilo nalo ni tatizo kwenye mapenz
  3. exaud maxmillian

    KITENDAWILI...?

    Nyapuni
  4. exaud maxmillian

    Nimepata mchumba Mrina bar, ni kweli mwanamke anaejiuza anaweza kubadilika tabia na kuwa mke mwema?

    Usiogop mwanaume cha kuzingatia ni kwamba atatulia na ww maana wengine huwa ni wez na pia mzuie asiwasiliane na mashosti zake maana hao pia ni mlima kwako bro.
  5. exaud maxmillian

    Tundu Lissu: Tusishabikie maamuzi ya kijinga kwasababu tu yamefanywa na Rais

    Huyu mbunge anajua kitu sema hajatuweka wazi
  6. exaud maxmillian

    Msaada mbegu za kiume kutoka na damu wakati wa tendo la ndoa

    Mimi nina tatizo mfano nafanya tendo la ndoa huwa sperm zangu zinaambatana na damu huu ni ugonjwa gani naomba msaada?
  7. exaud maxmillian

    Msaada tatizo wakati wa tendo la ndoa

    mimi nina tatizo la kutoa sperm zenye damu naomba nisaidiwe jibu la tatizo langu
Back
Top Bottom