Mmoja kaniambia nmdhamini kwenye duka la vifaa vya ujenzi kwa rafiki angu atalipia rakni mpaka nliona aibu deni limechukua mda mrefu mwenye duka tunashibana sana nmeenda mwenyewe kuilipia hiyo mifuko mitano ya simenti na hapo nilipiga mara moja
Msaada Wataalam: Kuanzia tarehe 8-9-10-11-12 mwezi huu nilifanya mapezi na shemeji yenu nikasafiri, nikiwa sipo nyumbani tarehe 20 alinipigia simu akaniambia anaumwa anatokwa maji maji ya rangi njano na tumbo linamuuma nikamwambia achukue pesa aende kanunue dawa basi alienda duka la dawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.