Recent content by exalioth

  1. exalioth

    Mke anataka kutimkia kwao akidai nimemwambukiza zinaa. Sijawahi kuugua ugonjwa huo tangia nizaliwe

    Msaada Wataalam: Kuanzia tarehe 8-9-10-11-12 mwezi huu nilifanya mapezi na shemeji yenu nikasafiri, nikiwa sipo nyumbani tarehe 20 alinipigia simu akaniambia anaumwa anatokwa maji maji ya rangi njano na tumbo linamuuma nikamwambia achukue pesa aende kanunue dawa basi alienda duka la dawa...
  2. exalioth

    Iran bado ina nguvu za kijeshi

    Msukuma ww wa ngweli
  3. exalioth

    Wanasayansi Wafichua Dalili za Mwisho wa Dunia!

    Nmesoma rakini nlipoonda umechanganya na biblia basi nikaishia hapo
  4. exalioth

    Mufti ataka Rais Samia aombewe

    Kuna tatzo
  5. exalioth

    Wanaouchukia Uislam mnajisumbua Farao mwenyewe yalimshinda

    Sjawahi kua shabiki wako rakni kwa comment yako hii fupi umeitendea haki jamiiforums
  6. exalioth

    Umeamua kufunga Kwa hiari yako, kwanini ukasirike sisi tukiwa tunakula?

    Kuna dada hapa jirani muisilam naona anapiga ubweche namuuliza kwann unakula!? kasema et nnamatatizo kiafya
  7. exalioth

    Wataalamu wa football betting

    Hauwezi kumaliza wikendi mbili akaunt yako ikisoma zero amini nakwambia
  8. exalioth

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    huu uzi wameukimbia
  9. exalioth

    Marekani kama wana wazo la kuja kupambana na China kivita ni bora wakafuta hilo wazo kwa sasa

    Hiki mimi hua nakipinga kila siku hapa jf yaani sio kila mtu anaweza akawa na uelewa nikiangalia jamaa katoa maoni kulingana na uelewa wake sasa huyo aliemjibu hoja alipaswa ampe elimu ili aongeze maalifa zaidi, kilichotokea sasa!! sjui jamaa hajapata malezi? matusi mtupu
  10. exalioth

    TANZIA Janka wa LWP afariki dunia

    Alikua wakala sio
  11. exalioth

    TANZIA Janka wa LWP afariki dunia

    RIP kijana naona yupo ezi za uhai alikua ni mtu wa kazi naona anamenya mihogo hapo
  12. exalioth

    Serikali ya Samia Imewezesha Mashirika ya Umma Yaliyokuwa yanaleta Hasara Kujiendesha Kwa Faida.Yamo TANESCO na TRC

    R.I.P Sheikh Sharif Majini[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Back
Top Bottom