Mwanamke hawezi kua na hisia na wanaume wawili kwa wakat mmoja kwaio huyo alitoka nje ya ndoa ndicho kilichomkuta na nivigumu kurudi kama zamani ndio maana mtu akianzaga tabia hiyo ndoa humshinda
Mmoja kaniambia nmdhamini kwenye duka la vifaa vya ujenzi kwa rafiki angu atalipia rakni mpaka nliona aibu deni limechukua mda mrefu mwenye duka tunashibana sana nmeenda mwenyewe kuilipia hiyo mifuko mitano ya simenti na hapo nilipiga mara moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.