Msaada Wataalam: Kuanzia tarehe 8-9-10-11-12 mwezi huu nilifanya mapezi na shemeji yenu nikasafiri, nikiwa sipo nyumbani tarehe 20 alinipigia simu akaniambia anaumwa anatokwa maji maji ya rangi njano na tumbo linamuuma nikamwambia achukue pesa aende kanunue dawa basi alienda duka la dawa...
Hiki mimi hua nakipinga kila siku hapa jf yaani sio kila mtu anaweza akawa na uelewa nikiangalia jamaa katoa maoni kulingana na uelewa wake sasa huyo aliemjibu hoja alipaswa ampe elimu ili aongeze maalifa zaidi, kilichotokea sasa!! sjui jamaa hajapata malezi? matusi mtupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.