Recent content by exalioth

  1. exalioth

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    kichapo kingine huko
  2. exalioth

    FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

    Mamelodi ni wakawaida sana tofauti na tunavyomsoma kwenye magazeti
  3. exalioth

    Mtaani kwetu leo nyumba ya kwanza kuna harusi ya mapacha, nyumba inayofuata kuna 40 ya msiba

    Huyu ndege john si mlisemaga amefariki au memba amtumia jina tu
  4. exalioth

    Sina furaha kwenye ndoa yangu, nahisi nilikurupuka

    Acha ujinga mwanamke hubadilishwa kutoka tabia flani mpaka vile, kwaio anza kuweka mipangilio katka ndoa yenu aache kuishi kama yupo kwao, aache ujinga nayeye aamke asubuhi awaze majukum sio kuamka kuwaza mapenz ova Geita moja
  5. exalioth

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    TAARIFA KWA WAZEE WENZAGU Ndg zangu wakubwa na wadogo habarini za mchana huu... Nmekuja kwenu ndugu zangu na maskitiko makubwa na taarifa ya kuacha mchezo huu wa kubashiri swala hili limekuja baada ya kupoteza kiasi cha ml4 ndani ya mda wa wiki moja Na jana nimepoteza laki saba kwa mechi ya...
  6. exalioth

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ngoja nilale nitakuja na jibu kesho[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
  7. exalioth

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Uchawi huu mechi 9 amechana brighton tu
Back
Top Bottom