kwa hapo nimekisoma mkuu "huwezi potea njia unayopita kila Sikh isipokuwa utabun chocho za fasta" kW ushaur wangu ,m naomba upate mtu ambaye unaona kW kiasi flan anawez sana haya masuala make sio kukurupka tu kjana, Ila kW kuw una nia maamin ukiweka bidii kufanya uchunguzi zaid utawin,big up...
Aisee jomba nimekupata hapo kW sababu vijana Wang tumekuw tukijisahau na kujikuta tunaambulia patup koz tunapozipata tunasahau jinsi gan tulihaso na kujikuta tukidumbukia kwenye dimbwi la umalaya,ulevi n.k,kw ushaur zaid naomben vijana w sahv tubadilike sana tusiendekeze starehe sana make no...
dudu jeupe,
Aisee nimekupata kaka na kW huu ujumbe naamin in njia mojawapo yangu Mimi kuanza mapambano upya baada y mawazo y mda mref kW namna gan nawez kutengeneza hela,be blessed brother
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.