Siri ya kutokufanikiwa

olym

JF-Expert Member
Jul 25, 2019
265
449
Hello JF Member,

Ni matumaini nyote mko poa kabisa, napenda niwashirikishe jambo moja ambalo najua kwa namna moja ama nyingine kuna watakaopata kitu na kupitia wachangiaji wengine kuna elimu kubwa itapatikana miongoni mwetu.

Kwa uzoefu wangu mdogo kwenye tasnia ya fedha na kuzikuza nimeona nitoe mawazo ya nini ni siri ya mafanikio kwa jamii yetu.

Uvumilivu, wengi wetu hatuna uvumilivu wa kusubiri huku tukiendelea kuweka jitihada zaidi kwa tunachokifanya na kukiamini na kupelekea kupoteza mwelekeo wa mambo mengi tuyafanyao.

Akiba, pia hili ni changamoto kwa wengi na ni moja ya kitu kizuri sana kwenye kufanikiwa, mfano mkiwa wawili mmoja ana akiba ya 1M mwingine hana ikija hata dili la wewe kununua pikipiki mpya inauzwa mtu ana uhitaji mwenye akiba atanunua na kuuza 1.2M au hata 1.5M kwa muda mfupi anakuwa amezalisha ila kama hakuna akiba kuna shida kidogo.

Starehe na matumizi yasiyo lazima, hiki pia ni changamoto ambayo ilitukumbuka vijana wengi baada ya kumaliza vyuo vikuu na kupata ajira zetu za kwanza, starehe inachangia sana kudidimiza maendeleo yetu ikiwa haujui utumie nini na uhifadhi nini, mfano last month nimetoka kuipiga kibiriti pesa nyingi kidogo nakuja kushtuka account haina kitu.

Kutokuwa na taarifa sahihi,
hii naiweka hivi haswa kwenye masuala ya biashara ni kuanza au kusikia biashara fulani inalipa bila kujifunza na kuelewa nje na undani wake unaingia na unachoma pesa yako na unarudi hatua nyingine nyuma, naomba niseme hakuna biashara ambayo hailipi ila mikakati yako ndio itakuangusha, kila biashara ina mabilionea kwenye hii dunia.

Mwisho, nafikiri tutaelewa na kujitahidi mwaka huu 2020 uwe wenye baraka na neema kwa kila tunaloliendea.

Olym

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello JF Member,

Ni matumaini nyote mko poa kabisa, napenda niwashirikishe jambo moja ambalo najua kwa namna moja ama nyingine kuna watakaopata kitu na kupitia wachangiaji wengine kuna elimu kubwa itapatikana miongoni mwetu.

Kwa uzoefu wangu mdogo kwenye tasnia ya fedha na kuzikuza nimeona nitoe mawazo ya nini ni siri ya mafanikio kwa jamii yetu.

Uvumilivu, wengi wetu hatuna uvumilivu wa kusubiri huku tukiendelea kuweka jitihada zaidi kwa tunachokifanya na kukiamini na kupelekea kupoteza mwelekeo wa mambo mengi tuyafanyao.

Akiba, pia hili ni changamoto kwa wengi na ni moja ya kitu kizuri sana kwenye kufanikiwa, mfano mkiwa wawili mmoja ana akiba ya 1M mwingine hana ikija hata dili la wewe kununua pikipiki mpya inauzwa mtu ana uhitaji mwenye akiba atanunua na kuuza 1.2M au hata 1.5M kwa muda mfupi anakuwa amezalisha ila kama hakuna akiba kuna shida kidogo.

Starehe na matumizi yasiyo lazima, hiki pia ni changamoto ambayo ilitukumbuka vijana wengi baada ya kumaliza vyuo vikuu na kupata ajira zetu za kwanza, starehe inachangia sana kudidimiza maendeleo yetu ikiwa haujui utumie nini na uhifadhi nini, mfano last month nimetoka kuipiga kibiriti pesa nyingi kidogo nakuja kushtuka account haina kitu.

Kutokuwa na taarifa sahihi,
hii naiweka hivi haswa kwenye masuala ya biashara ni kuanza au kusikia biashara fulani inalipa bila kujifunza na kuelewa nje na undani wake unaingia na unachoma pesa yako na unarudi hatua nyingine nyuma, naomba niseme hakuna biashara ambayo hailipi ila mikakati yako ndio itakuangusha, kila biashara ina mabilionea kwenye hii dunia.

Mwisho, nafikiri tutaelewa na kujitahidi mwaka huu 2020 uwe wenye baraka na neema kwa kila tunaloliendea.

Olym

Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima kwako mukuu iliyo yasema hapa ni ukweli mtupu, nikazie hapa kwenye akiba! akiba! akiba! Nimuhimu sana kuweka akiba, pia malengo nikitu muhim sana malengo yanaweza kuku fanya usitumie pesa ovyo ovyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello JF Member,

Ni matumaini nyote mko poa kabisa, napenda niwashirikishe jambo moja ambalo najua kwa namna moja ama nyingine kuna watakaopata kitu na kupitia wachangiaji wengine kuna elimu kubwa itapatikana miongoni mwetu.

Kwa uzoefu wangu mdogo kwenye tasnia ya fedha na kuzikuza nimeona nitoe mawazo ya nini ni siri ya mafanikio kwa jamii yetu.

Uvumilivu, wengi wetu hatuna uvumilivu wa kusubiri huku tukiendelea kuweka jitihada zaidi kwa tunachokifanya na kukiamini na kupelekea kupoteza mwelekeo wa mambo mengi tuyafanyao.

Akiba, pia hili ni changamoto kwa wengi na ni moja ya kitu kizuri sana kwenye kufanikiwa, mfano mkiwa wawili mmoja ana akiba ya 1M mwingine hana ikija hata dili la wewe kununua pikipiki mpya inauzwa mtu ana uhitaji mwenye akiba atanunua na kuuza 1.2M au hata 1.5M kwa muda mfupi anakuwa amezalisha ila kama hakuna akiba kuna shida kidogo.

Starehe na matumizi yasiyo lazima, hiki pia ni changamoto ambayo ilitukumbuka vijana wengi baada ya kumaliza vyuo vikuu na kupata ajira zetu za kwanza, starehe inachangia sana kudidimiza maendeleo yetu ikiwa haujui utumie nini na uhifadhi nini, mfano last month nimetoka kuipiga kibiriti pesa nyingi kidogo nakuja kushtuka account haina kitu.

Kutokuwa na taarifa sahihi,
hii naiweka hivi haswa kwenye masuala ya biashara ni kuanza au kusikia biashara fulani inalipa bila kujifunza na kuelewa nje na undani wake unaingia na unachoma pesa yako na unarudi hatua nyingine nyuma, naomba niseme hakuna biashara ambayo hailipi ila mikakati yako ndio itakuangusha, kila biashara ina mabilionea kwenye hii dunia.

Mwisho, nafikiri tutaelewa na kujitahidi mwaka huu 2020 uwe wenye baraka na neema kwa kila tunaloliendea.

Olym

Sent using Jamii Forums mobile app

Aisee umenena sana kiongozi vijana wengi tuufanye huu mwaka kua mwaka wa mabadiliko na kujipanga vizuri umri unaenda


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanachofeli watu wengi ni kubadili mawazo ya biashara kwa kukosa uvumilivu pengine mtu alikuwa anaweka akiba lengo ifike Mil 1
Kajichanga imefika laki sita anashawishika kwa biashara nyingine kwa kuhisi inalipa zaidi tayari anakuwa ameharibu malengo
 
Hello JF Member,

Ni matumaini nyote mko poa kabisa, napenda niwashirikishe jambo moja ambalo najua kwa namna moja ama nyingine kuna watakaopata kitu na kupitia wachangiaji wengine kuna elimu kubwa itapatikana miongoni mwetu.

Kwa uzoefu wangu mdogo kwenye tasnia ya fedha na kuzikuza nimeona nitoe mawazo ya nini ni siri ya mafanikio kwa jamii yetu.

Uvumilivu, wengi wetu hatuna uvumilivu wa kusubiri huku tukiendelea kuweka jitihada zaidi kwa tunachokifanya na kukiamini na kupelekea kupoteza mwelekeo wa mambo mengi tuyafanyao.

Akiba, pia hili ni changamoto kwa wengi na ni moja ya kitu kizuri sana kwenye kufanikiwa, mfano mkiwa wawili mmoja ana akiba ya 1M mwingine hana ikija hata dili la wewe kununua pikipiki mpya inauzwa mtu ana uhitaji mwenye akiba atanunua na kuuza 1.2M au hata 1.5M kwa muda mfupi anakuwa amezalisha ila kama hakuna akiba kuna shida kidogo.

Starehe na matumizi yasiyo lazima, hiki pia ni changamoto ambayo ilitukumbuka vijana wengi baada ya kumaliza vyuo vikuu na kupata ajira zetu za kwanza, starehe inachangia sana kudidimiza maendeleo yetu ikiwa haujui utumie nini na uhifadhi nini, mfano last month nimetoka kuipiga kibiriti pesa nyingi kidogo nakuja kushtuka account haina kitu.

Kutokuwa na taarifa sahihi, hii naiweka hivi haswa kwenye masuala ya biashara ni kuanza au kusikia biashara fulani inalipa bila kujifunza na kuelewa nje na undani wake unaingia na unachoma pesa yako na unarudi hatua nyingine nyuma, naomba niseme hakuna biashara ambayo hailipi ila mikakati yako ndio itakuangusha, kila biashara ina mabilionea kwenye hii dunia.

Mwisho, nafikiri tutaelewa na kujitahidi mwaka huu 2020 uwe wenye baraka na neema kwa kila tunaloliendea.

Olym

Sent using Jamii Forums mobile app
umeeleza vizuri sana asante kwa kutukumbusha vijana hua kwa upande wangu katika swala la uwekezaji na kujiajiri kwa ujumla point yako ya mwisho ni ya msingi sana kuliko tunavyoiona.
 
Kweli kabisa
Hello JF Member,

Ni matumaini nyote mko poa kabisa, napenda niwashirikishe jambo moja ambalo najua kwa namna moja ama nyingine kuna watakaopata kitu na kupitia wachangiaji wengine kuna elimu kubwa itapatikana miongoni mwetu.

Kwa uzoefu wangu mdogo kwenye tasnia ya fedha na kuzikuza nimeona nitoe mawazo ya nini ni siri ya mafanikio kwa jamii yetu.

Uvumilivu, wengi wetu hatuna uvumilivu wa kusubiri huku tukiendelea kuweka jitihada zaidi kwa tunachokifanya na kukiamini na kupelekea kupoteza mwelekeo wa mambo mengi tuyafanyao.

Akiba, pia hili ni changamoto kwa wengi na ni moja ya kitu kizuri sana kwenye kufanikiwa, mfano mkiwa wawili mmoja ana akiba ya 1M mwingine hana ikija hata dili la wewe kununua pikipiki mpya inauzwa mtu ana uhitaji mwenye akiba atanunua na kuuza 1.2M au hata 1.5M kwa muda mfupi anakuwa amezalisha ila kama hakuna akiba kuna shida kidogo.

Starehe na matumizi yasiyo lazima, hiki pia ni changamoto ambayo ilitukumbuka vijana wengi baada ya kumaliza vyuo vikuu na kupata ajira zetu za kwanza, starehe inachangia sana kudidimiza maendeleo yetu ikiwa haujui utumie nini na uhifadhi nini, mfano last month nimetoka kuipiga kibiriti pesa nyingi kidogo nakuja kushtuka account haina kitu.

Kutokuwa na taarifa sahihi, hii naiweka hivi haswa kwenye masuala ya biashara ni kuanza au kusikia biashara fulani inalipa bila kujifunza na kuelewa nje na undani wake unaingia na unachoma pesa yako na unarudi hatua nyingine nyuma, naomba niseme hakuna biashara ambayo hailipi ila mikakati yako ndio itakuangusha, kila biashara ina mabilionea kwenye hii dunia.

Mwisho, nafikiri tutaelewa na kujitahidi mwaka huu 2020 uwe wenye baraka na neema kwa kila tunaloliendea.

Olym

Sent using Jamii Forums mobile app
We
 
Aisee jomba nimekupata hapo kW sababu vijana Wang tumekuw tukijisahau na kujikuta tunaambulia patup koz tunapozipata tunasahau jinsi gan tulihaso na kujikuta tukidumbukia kwenye dimbwi la umalaya,ulevi n.k,kw ushaur zaid naomben vijana w sahv tubadilike sana tusiendekeze starehe sana make no vitu ambavyo vipo2 na havitoisha so no vizur sana tukaweka akiba ambayo itakuwa hadhina yetu kw baadae, tubadilike jaman ,more lovely
 
Back
Top Bottom