Mwigamba hajafanya hila yeyote hapo dhidi ya MM,ni kujaribu tu kuwekana sawa kwa nia ya Kujenga tofauti na wewe unavyojaribu ku-suggest indirectly kwamba ni Mashindano!!
No Hard Feelings!!
Hivi mwenyekiti au Kinara wa Uchumi wa Dunia aliyetangulia kabla ya Lipumba anaitwa nani? Au kabla ya Lipumba Uchumi wa Dunia ulikuwa hauna Mwenyekiti? Kuwa mwenyekiti au Kinara wa Uchumi wa Dunia ndiyo maana yake nn?
Ha ha ha ha ha,Hakika,yaani hapo mtu unakimbia huku chupi Mkononi na Makelele mengi mithili ya hayawani aliyejeruhiwa katika Mbuga ya Serengeti!
Nikimpata that type of a woman,NITAMFURUMUSHIA MAPENZI MAPENZI MPAKA ATAENDWA KULAZWA KWENYE WODI YA VICHAA!!!
Love is All We Need,Cheeeeeers!!
Now,that is not being principled,that is another miscalculation u have made!!
That is simply being arrogant and vindictive!!
Alichokimaanisha Lizzy hapo ni kwamba sisi wanaume Tunapenda mwanamke atakayetusaidia kuona kile tusichokiuno,mwanamke who will help us read btwn the lines!!
In other...
Umesema Vyema,Kwa dhambi aliyofanya Adamu na Hawa,Wanawake wote na wanaume wote tunalipia mpaka leo until mtu ampokee Bwana Yesu!!
Tatizo watu wanayaangalia mambo katika akili za kibinadamu!!!
Mbona Elia aliomba na Mvua haikunyesha katika Israel Nzima kwa Miaka 3,Elia alikuwa nani na Kakobe ni nani? Au unadhani kizazi hiki hakina wakina Elia?!! "Wenye Haki wangu wataishi kwa Imani"
Nenda Full Gospel kajifunze Neno la Mungu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.