hahahahahaha kwa hali hii bora mgomo uendelee...
Tunawashukuru wameanza, lakini ni Wauaji!!!! Ndugu zetu wamekufa kwa kukataa kuwatibu eti wanataka nyongeza ya posho, mishahara. All in all, tunawashukuru sana kurudi kazini kuwatibu wapendwa wetu walionusurika.
Wauaji ni Serikali ya Ccm!!
Tunawashukuru wameanza, lakini ni Wauaji!!!! Ndugu zetu wamekufa kwa kukataa kuwatibu eti wanataka nyongeza ya posho, mishahara. All in all, tunawashukuru sana kurudi kazini kuwatibu wapendwa wetu walionusurika.
Wauaji ni Serikali ya Ccm!!
Usilipe uuaji kwa uuaji!!!!! CCM kweli wameua, nyie mliokula kiapo msiue tena wapendwa. Msikatae kuwatibu wagonjwa wetu wapendwa wakafa. Hi hilo tu wapendwa, tunawapenda sana na kazi yenu ni nzuri, iliyotukuka, kuhifadhi maisha ya mwanadamu
Tunawashukuru wameanza, lakini ni Wauaji!!!! Ndugu zetu wamekufa kwa kukataa kuwatibu eti wanataka nyongeza ya posho, mishahara. All in all, tunawashukuru sana kurudi kazini kuwatibu wapendwa wetu walionusurika.