Up until 2021 here's how I would rank the jerseys of our African teams;
Nigeria: The Nigerian national team's jersey has often been lauded for its unique and vibrant designs. The 2018 World Cup jersey, in particular, gained widespread attention and appreciation for its striking green and white...
Tushaingia kipande cha pili cha mwaka 2023. Binafsi kuna malengo sijatimiza maana mifuko haijakaa poa kabisa. Mishahara haiongezeki ila majukumu sasa... dah! Kwa July hii michongo imejificha wapi aiseee
Yes, jackpots are legitimate in Tanzania. Jackpots are a popular form of gambling and can be found in various forms, such as lottery jackpots, casino jackpots, and sports betting jackpots. These jackpots offer participants the chance to win significant sums of money or other valuable prizes...
Inaonekana ushiriki wa Yanga kwenye mashindano mbalimbali imeweza kuwapa BIL 3.5. Yanga wametangaza kuwa na makubaliano na mabenki makubwa matatu kama NMB na CRDB katika huduma ya usajili wa wanachama kidigitali kote nchini. Kwa speed hii, wale wakubeti mwaka huu basi walivuna sana kama waliweka...
Kwa DSM, Kariakoo ni sehemu kubwa na maarafu kwa kufanyia biashara.
Uwezo wa kkoo kukuwa ni mkubwa kiukweli ila, miundombinu inakwamisha.
Suala zima la nafasi, utulivu pamoja na usalama ndiyo linazingua.
Kwa sasa bado watu wanafungiwa biashara zao sasa vijana watafanya nini?
Ni kama vile...
Dada zetu kutokea Sudan wametingisha mitandao kidogo. Tena na hivi ligi zimepoa poa, amsha amsha sasa hivi zipo kwa hao warembo.
Alafu kwenye kubeti sasa kuna michezo ya kuweka hela msimu huu kweli? Au ndo watu wakaushe mpaka ligi zitakaporudi?
Juzi kati nilianza kufwatilia hii show, inanoga kuicheki ila concept yake mna dhani kweli watu wanaishia kuoana baada ya kukutana hapo? au wanaigiza tu?
Kuna upendo hata?
Kati ya vitu hivi viwili, unadhani kitu gani kina uzito zaidi kwenye malezi ya watoto haswa kwa karne hii?
Mambo ni mengi mno. Kuna haya mambo ya LGBTQ, kuacha kusoma ili kufanya biashara... ili ku"trade" au kubet.... wazazi wa sasa na watarajiwa wawekeze nguvu wapi sasa?
Mama yetu mpendwa amekiri kwamba walimu na sekta ya afya wana umuhimu mkubwa sana katika nchi hii. Kwa maana hiyo sasa kwenye suala la posho wanafikiriwa.
Sasa nawaza, kwa sisi vijana ambao tunafundishana vitu mbalimbali tuanze kudaiana allowance pia au tuendelee na ukarimu wetu tu?
Yaani ukiachana na kuchapwa bao moja, ilikuaje umeme ulikata? Sasa hii hali kweli walikuwa hawajajipanga tangu kipindi cha ujenzi? Hizi ni changamoto za kuzingatiwa mapema ili kuepuka tafrani na aibu ... dah haikuwa poa aiseee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.