Mama yetu mpendwa amekiri kwamba walimu na sekta ya afya wana umuhimu mkubwa sana katika nchi hii. Kwa maana hiyo sasa kwenye suala la posho wanafikiriwa.
Sasa nawaza, kwa sisi vijana ambao tunafundishana vitu mbalimbali tuanze kudaiana allowance pia au tuendelee na ukarimu wetu tu?
Sasa nawaza, kwa sisi vijana ambao tunafundishana vitu mbalimbali tuanze kudaiana allowance pia au tuendelee na ukarimu wetu tu?
