Hatujachelewa vijana, let's stand tuwaokoe mama zetu kule vijijini tuache kupelekwa kama roboti au tv inavyoendeshwa na remote. Wakati ndo huu kuonyesha uzalendo.
Sioni sababu ya kusema sauti ya wengi wakati wanaoongea hivyo ni kundi la watu ambao tunaweza kuwaita noble class wakati majority ndo wenye shida. Wanaongea bila hata kumwogopa mungu. Wanatumia jina la mungu kujineemesha wenyewe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.