Mkuu,
Nimeona tangazo la NARCO wanakodisha baadhi ya ranchi zao. Tembelea page yao uwahi nafasi mapema. Hii ni fursa nzuri kwa wafugaji wakubwa.
Mkuu Tangantika umeshaanza ufugaji wa mbuzi? Mwenzio nimethubutu tayari. Nimeanza na mbuzi kumi wa kienyeji, ila nitaongeza mdogo mdogo. Nafugia...
Naomba Mungu anisaidie maana natamani sana niwe na
1. homestead yangu yenye ekari 500 humo niwe nina ng'ombe wengi, mbuzi wengi, kuki wa kienyeji, kondoo, na familia yangu iishi humo humo.
2. Nipande ndege niende nje ya mipaka ya nchi hii.
3. Nipate kazi nzuri zaidi ya hii niliyonayo sasa hivi.
Mkuu,
Tengeneza juisi ya ukwaju unywe asubuhi mchana na jioni.
Kula sana mapapai yaliyoiva vizuri.
Kula ndizi mbivu.
Hizi ni dawa za asili, utapata choo laini
Mkuu,
Tengeneza juisi ya ukwaju unywe asubuhi mchana na jioni.
Kula sana mapapai yaliyoiva vizuri.
Kula ndizi mbivu.
Hizi ni dawa za asili, utapata choo laini
Nitamuachia mzazi aendelee kufaidi utamu wa mpenzi wangu. Halafu nitatafuta mpenzi mpya ambaye atafaa kuwa mume au mke halali wa ndoa. Nitaoa nitaishi naye na kuzaa watoto kumi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.