Recent content by Evarm

  1. Evarm

    Asanteni Morogoro kwa mapokezi mazuri

    TRC ilikuwa na kazi ya kuleta wanafunzi na watoto siku nzima ili kuijaza Morogoro watu wajae.
  2. Evarm

    IPTL yabwagwa mahakamani Sh100 bilioni za Escrow

    IPTL ni nani huyu? Natamani kumjua sana
  3. Evarm

    Sijui huyu dada anawezaje kuwa na "Kipapiro" fresh all the time. Nikimuuliza anasema kawaida tu

    Naona Chizi Maarifa umekuja kunitangaza humu. Kuanzia leo sikukubalii uguse tena kipapiro changu.
  4. Evarm

    Uchaguzi wa mbolea bora msimu huu wa kilimo

    Natumia samadi ya ng'ombe na mbuzi. Haina gharama na inadumu shambani balaa. Mahindi yangu ya kijanii Hadi raha. Karibu turudi edeni
  5. Evarm

    Leo nimepata heart breaking ya hatare

    Kazi ipo Poor Brain
  6. Evarm

    Baada ya tendo akasema namchafua!

    Humfikishi kileleni, unakojoa na linalegea wakati Bado Binti anataka apelekewe motoooooo
  7. Evarm

    Popote utakapo muona huyo ni mke wangu mwambie namtafuta

    Nipo hapa nimejaa tele kama pishinla mchele
  8. Evarm

    Liquid Asset (FD, Bonds, UTT) v/s Fixed Asset (Nyumba ya Kupangisha)

    Makato yapo sana, yapo kwenye maintenance ya nyumba maana Kuna baadhi ya wateja ni wachafu sana, hivyo kabla hajaja mteja mpya unatakiwa uifanyie repair nyumba yako
  9. Evarm

    Mfanyakazi wangu ametapeliwa bidhaa zenye thamani ya Tsh. 300,000 Goba njia nne kwenye sheli

    Yawezekana pia amekunyoosha huyo mfanyakazi wako. Mimi hilo deni angelipa huyo mfanyakazi maana hajafuata maelekezi yangu niliyompa
  10. Evarm

    Je kifo cha 'Jasusi mbobezi' kimeondoka na kichwa leo?

    Mji mzito huu. Mungu saidia Tz ni yetu sote
  11. Evarm

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    Mkuu Nina miaka 13 kazini, statement yangu Ina miezi mingi tu yaani 13×12
Back
Top Bottom