Kwa mwendo huu...... Kwan nn polisi akipiga raia haisound sana lkn raia akimpiga Askali kelele kibao!!!!!! Mm uongo mbaya kama mm sijaumizwa na tatzo lolote zaidi niwape pole familia za waliopoteza wapendwa wao...... Kila siku SUMA JKT inapiga watu na kuua huku Arusha lkn hakuna response leo...
Tatizo watanzania wengi njaa inatusumbua!!! Tume iliundwa lini.... Hebu jiulize kwa nn huyu anaejiita Jerry Muro hakutoa maoni yake hayo wakati tume haijaundwa au wakati inafanya kazi!!! Kwa nn alete ushauri wake baada ya tume kuleta report?? Moja kwa moja huyu kanunuliwa!!! Anataka kupotosha...
Mm sina chama but I can say this...... Hv ww unadhani nani ana shida na cheo cha BASHITE?? Kwani swala la vyeti feki limeanzia kwake?? Au walioliibua ni BAVICHA?? Sikiliza mkuu..... Tatizo lenu mnadhani kuna mtu ana shida na ukuu wa mkoa au wa Wilaya.... Swala hapa ni vyeti feki...
Unajua protocol ww??? RC atakuwaje sawa na waziri???? Na Nape amekosea nn hapo!!! Kipindi kile yule mwalimu wa field alipompiga mwanafunzi wa Mbeya day kwa nn waziri wa Elimu aliingilia, kwa nn waziri wa Tamisemi aliingilia, kwa nn waziri wa Mambo aliingilia, mkuu wa mkoa, na mkurugenzi wa...
Ww kama umetumwa kumsafisha makonda umefail mkuu...... Kwa hyo hao watu ndo walimtuma makonda aende kuvamia Clouds???? Useless story shut up!!! Sijui watu wengine mnafikiria kwa kutumia nn!!! Ndo kusema kwa akili zako timamu anakufurahisha kwa matendo yake huo ndg yako BASHITE wafanyakazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.