GPA za chuo zinapatikana vipi

Pole

Skilza ndugu

A=5points
B+=4points
B=3points
C=2points
D=1point supplementary
E= carry/ repeat course (bashite)

Sasa Fanya hivi mfano una masomo 6 angalia umepataje katika hizo grades kama n A zote bas chukua points znazohusu A jumlisha zote kulingana na masomo as we assumed zpo 6 so its 5*6=30 so ukishapata hyo 30 unagawanya na idadi ya masomo yako ambayo ni hayo 6 utapata 5 hyo 5 ndo GPA

Mfano mwngne labda una course saba na umescode hvi
Somo 1 = A
Somo 2=B+
Somo 3 =B
Somo 4 =C
Somo 5=A
Somo 6=B
Somo 7=A

Unavyoipata GPA yako
Rudi kwenye grades na points zake then ziweke kwa style hii

Points
Somo 1 = A =5
Somo 2=B+=4
Somo 3 =B=3
Somo 4 =C=3
Somo 5=A=5
Somo 6=B=3
Somo 7=A=5
Jumla ya =28points

GPA= jumla ya points gawa kwa idadi ya course
=28/7
=4

Kwahyo kwa design hyo utakua ja GPA ya 4
 
Inategemea kvip mkuu
Inategemea sehemu unayoenda kuomba kazi

Unaweza kuta kwenye interview mwenye GPA ndogo akajibu maswali vizuri kuliko yule mwenye GPA kubwa hivyo basi ukachukuliwa bila tatizo.

Au baadhi ya sehemu wanawapa kazi kama kipimo kabla haujachukuliwa moja kwa moja ,utendaji wako ukiridhisha + nidhamu yako ikiridhisha unachukuliwa bila tatizo kama wakikuona hauna nidhamu ya kazi wanakuacha.


Pia kuna wale wanaopata nafasi kwa kigezo cha kujuana na watu wa ngazi za juu ndio maana inashauriwa mwanafunzi ujitahidi kujenga urafiki na watu wengi uwezavyo ili iwe rahisi kujitengenezea chaneli ukimaliza masomo yako
 
Utaratibu sahihi ninaoufahamu mimi wa ku-calculate GPA, let say katika semester moja ni huu hapa; ntauweka kwa mfumo wa mfano:-
- Let say una course 5 katika semester
- Course 4 zina units (points) 2 kila moja
- Course moja ina units (points) 3
- let us assume kuwa umepata A zote, with consideration uzito wa kila grade kuwa A=5, B+=4, B=3, C=2, D=1 hivyo:
COURSE 1: 3X5=15
COURSE 2: 2X5=10
COURSE 3: 2X5=10
COURSE 4: 2X5=10
COURSE 5: 2X5=10
jumla utapata 55, then hiyo 55 unaigawanya kwa total number of units(points) ambazo ni 11, so 55/11 utapata GPA yako ya 5
 
Masomo yametofautiana unit. Mfano masomo yapo 8 kila moja na unit yake, basi unachukua alama uliyoipata Kama ni A inakuwa na 5. Hivyo unit x alama halafu unakuja kugawa Kwa total units za jumla ya masomo. A=5 ,B+=4,B=3,C=2,D=1
sasa somo likiwa na unit 2 na umepata A, Chukua 2x5=10 jingine labda B+
Unit yake 3x4= 12 jingine labda A
Unit yake 3x5= 15 jingine labda A
Unit yake 2x5= 10 jingine labda B+
Unit yake 4x4 = 16 jingine labda C
Unit yake 4x2 = 8 jingine Labda B+
Unit yake 4x4 =16 jingine labda A
Unit yake 2x5 =10
Total units ni =24
Total units and marks=97
Gawa 97/24=4.04(GPA)now hiyo ni semester 1 fanya hivo kwa semester zote. Then jumlisha na utafute average.
Sahihi kabisa, acha huyo bashite alitaka kutufanya wote tumeishia form four or six
 
Hahaha nimekubamba kumbe nawe uko humu na yeezus ndio jina lao jana umeuliza kwenye group la darasani hukupata jibu umeingia huku. Kiufupi niliogopa kukupa formula maana umekamatwa na najua huwa una pressure. Ila usijali kwenye mtandao wamerekebisha GPA zinaonekana. Jiandae Kufanya supp. Bado wiki 2 tu
 
Maswala ya units sijawah kuyaona kama yana uzto kwenye GPA
Somo likiwa na units nyingi manake n core courses zenye units chache n course za mchezo mchezo japo huwa ngumu na mostly huwa za kushare waeza kuta first year wooote mnasoma hyo course haijalishi umespecialize kwenye nn
Mfano DS , CL
DS
 
Pole

Skilza ndugu

A=5points
B+=4points
B=3points
C=2points
D=1point supplementary
E= carry/ repeat course (bashite)

Sasa Fanya hivi mfano una masomo 6 angalia umepataje katika hizo grades kama n A zote bas chukua points znazohusu A jumlisha zote kulingana na masomo as we assumed zpo 6 so its 5*6=30 so ukishapata hyo 30 unagawanya na idadi ya masomo yako ambayo ni hayo 6 utapata 5 hyo 5 ndo GPA

Mfano mwngne labda una course saba na umescode hvi
Somo 1 = A
Somo 2=B+
Somo 3 =B
Somo 4 =C
Somo 5=A
Somo 6=B
Somo 7=A

Unavyoipata GPA yako
Rudi kwenye grades na points zake then ziweke kwa style hii

Points
Somo 1 = A =5
Somo 2=B+=4
Somo 3 =B=3
Somo 4 =C=3
Somo 5=A=5
Somo 6=B=3
Somo 7=A=5
Jumla ya =28points

GPA= jumla ya points gawa kwa idadi ya course
=28/7
=4

Kwahyo kwa design hyo utakua ja GPA ya 4
CHUO GANI IKO WANACHOFANYA IVO? KUGAWANYA NA IDADI YA MASOMO?
 
Angalia prospectus ya chuo chako au angalia sheria za mitihani ya chuo chako, formula huwa zinaainishwa
 
Vipi kwa wale wa medicine, optometry, physiotherapy, occupational therapy, laboratory, nurcing, pharmacy,zipoje Especially kwa KCMUCo
 
Hahaha nimekubamba kumbe nawe uko humu na yeezus ndio jina lao jana umeuliza kwenye group la darasani hukupata jibu umeingia huku. Kiufupi niliogopa kukupa formula maana umekamatwa na najua huwa una pressure. Ila usijali kwenye mtandao wamerekebisha GPA zinaonekana. Jiandae Kufanya supp. Bado wiki 2 tu
We mbeya ww 🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom