Acha kabisa....uzur mnakua mnalia wengi full kuchekana mtu paper ya 15 marks unalamba 0.5Yani nilivyoona tu CL na DS nimekumbuka mbali saana yamenitesa sana hayo masomo jamani kaah..
Acha kabisa....uzur mnakua mnalia wengi full kuchekana mtu paper ya 15 marks unalamba 0.5Yani nilivyoona tu CL na DS nimekumbuka mbali saana yamenitesa sana hayo masomo jamani kaah..
Pole
Skilza ndugu
A=5points
B+=4points
B=3points
C=2points
D=1point supplementary
E= carry/ repeat course (bashite)
Sasa Fanya hivi mfano una masomo 6 angalia umepataje katika hizo grades kama n A zote bas chukua points znazohusu A jumlisha zote kulingana na masomo as we assumed zpo 6 so its 5*6=30 so ukishapata hyo 30 unagawanya na idadi ya masomo yako ambayo ni hayo 6 utapata 5 hyo 5 ndo GPA
Mfano mwngne labda una course saba na umescode hvi
Somo 1 = A
Somo 2=B+
Somo 3 =B
Somo 4 =C
Somo 5=A
Somo 6=B
Somo 7=A
Unavyoipata GPA yako
Rudi kwenye grades na points zake then ziweke kwa style hii
Points
Somo 1 = A =5
Somo 2=B+=4
Somo 3 =B=3
Somo 4 =C=3
Somo 5=A=5
Somo 6=B=3
Somo 7=A=5
Jumla ya =28points
GPA= jumla ya points gawa kwa idadi ya course
=28/7
=4
Kwahyo kwa design hyo utakua ja GPA ya 4
InategemeaIv kwa mfano ukipata GPA ndogo unaweza pata ajira ?
Inategemea kvip mkuuInategemea
Inategemea sehemu unayoenda kuomba kaziInategemea kvip mkuu
Unamshauri mwenzio akangonoke..!,Nijuavyo GPA nyingi za Tanzania zinapatika kwa Kungonoka na Kutoa Mtonyo wa maana na huko kuhesabu Kwako ni mbwembwe tu.
Hajashauri Bali katoa mawazo ykeUnamshauri mwenzio akangonoke..!,
Kwani wewe ulingonoka..?
Nonsense
Sahihi kabisa, acha huyo bashite alitaka kutufanya wote tumeishia form four or sixMasomo yametofautiana unit. Mfano masomo yapo 8 kila moja na unit yake, basi unachukua alama uliyoipata Kama ni A inakuwa na 5. Hivyo unit x alama halafu unakuja kugawa Kwa total units za jumla ya masomo. A=5 ,B+=4,B=3,C=2,D=1
sasa somo likiwa na unit 2 na umepata A, Chukua 2x5=10 jingine labda B+
Unit yake 3x4= 12 jingine labda A
Unit yake 3x5= 15 jingine labda A
Unit yake 2x5= 10 jingine labda B+
Unit yake 4x4 = 16 jingine labda C
Unit yake 4x2 = 8 jingine Labda B+
Unit yake 4x4 =16 jingine labda A
Unit yake 2x5 =10
Total units ni =24
Total units and marks=97
Gawa 97/24=4.04(GPA)now hiyo ni semester 1 fanya hivo kwa semester zote. Then jumlisha na utafute average.
Hahaha nimekubamba kumbe nawe uko humu na yeezus ndio jina lao jana umeuliza kwenye group la darasani hukupata jibu umeingia huku. Kiufupi niliogopa kukupa formula maana umekamatwa na najua huwa una pressure. Ila usijali kwenye mtandao wamerekebisha GPA zinaonekana. Jiandae Kufanya supp. Bado wiki 2 tu
DSMaswala ya units sijawah kuyaona kama yana uzto kwenye GPA
Somo likiwa na units nyingi manake n core courses zenye units chache n course za mchezo mchezo japo huwa ngumu na mostly huwa za kushare waeza kuta first year wooote mnasoma hyo course haijalishi umespecialize kwenye nn
Mfano DS , CL
CHUO GANI IKO WANACHOFANYA IVO? KUGAWANYA NA IDADI YA MASOMO?Pole
Skilza ndugu
A=5points
B+=4points
B=3points
C=2points
D=1point supplementary
E= carry/ repeat course (bashite)
Sasa Fanya hivi mfano una masomo 6 angalia umepataje katika hizo grades kama n A zote bas chukua points znazohusu A jumlisha zote kulingana na masomo as we assumed zpo 6 so its 5*6=30 so ukishapata hyo 30 unagawanya na idadi ya masomo yako ambayo ni hayo 6 utapata 5 hyo 5 ndo GPA
Mfano mwngne labda una course saba na umescode hvi
Somo 1 = A
Somo 2=B+
Somo 3 =B
Somo 4 =C
Somo 5=A
Somo 6=B
Somo 7=A
Unavyoipata GPA yako
Rudi kwenye grades na points zake then ziweke kwa style hii
Points
Somo 1 = A =5
Somo 2=B+=4
Somo 3 =B=3
Somo 4 =C=3
Somo 5=A=5
Somo 6=B=3
Somo 7=A=5
Jumla ya =28points
GPA= jumla ya points gawa kwa idadi ya course
=28/7
=4
Kwahyo kwa design hyo utakua ja GPA ya 4
Nenda KIU zinauzwa...Wakuu GPA za chuo zinahesabiwa vipi ?
Yani mfano wanaposema hili somo lina unit ,moja ,mbili ,tatu nk inakuwa kuwaje yani kupata overall GPA?
Umeuliza swali hivyo tuvumiliane tu Mkuu kwa majibu utakayoyapokea vinginevyo kama unakasirika basi waombe tu Mapolisi wa Jamvi wautoe huu uzi wako.
We mbeya ww 🤣🤣Hahaha nimekubamba kumbe nawe uko humu na yeezus ndio jina lao jana umeuliza kwenye group la darasani hukupata jibu umeingia huku. Kiufupi niliogopa kukupa formula maana umekamatwa na najua huwa una pressure. Ila usijali kwenye mtandao wamerekebisha GPA zinaonekana. Jiandae Kufanya supp. Bado wiki 2 tu