Wana JF namimi natafuta rafiki wa kiume kwa lengo la kuwa na mahusiano yenye kuelekea uchumba.
WASIFU WANGU
UMRI:30
DINI:MKkristo
ELIMU: Degree ya kwanza
KAZI:Mwajiriwa
NAPENDELEA:Kuangalia movies, kusikiliza nyimbo/ kusoma tenzi zake na kusafiri.
NAYEMTAFUTA
UMRI:Kuanzia miaka 34 na...
Pole sana sana sana. Kama unapenda kuimba inasaidia kidogo, uimbe kwa sauti hadi upate relief. Fanya hivyo kisha malizia kwa kuvita pumzi kubwa ndani na kuitoa taratibu.
Ila chonde chonde usisikize nyimbo za slow na blues. Utaongeza majonzi
Mi nimegundua ukiziondoa zawadi na vitu ambavyo vinaweza kukumbusha huyo mtu inasaidia kiasi. Yaani kama kwa kuvigawa au kutupa alimradi tu usiwe na kitu kama perfume juu ya meza ambayo unaiona kila saa.
Pia ilinisaidia nlipofuta emails zake zoooote maana zilikuwa zinaniongezea machungu tu...
Ni maamuzi yake. Ila kama anaweka ya msichana au mkaka mwingine ndio inakua shida.
Tupunguze hizi stress yaani sababu mtu ni mpenzi wako ndio hadi profile aweke picha yako? My phone; my decisions.
Sasa hata baada ya huyo dada kukutumia hiyo picha na kama hukupenda ; kwanini hukuifuta?
Galfriend amesema umwache kwasasa atakutafuta akishakaa sawa. Naona amekupa nafasi ya kupanga maneno yako pia amejipa nafasi ya kupunguza hasira. Usifanye kosa la kusema uongo siku akikutafuta maana itakula...
Hahaa jamanii. Sa kuna shepu gani mikononi? Mi navyojua mwanamke mwenye sura nzuri wanasema ni mzuri bhaasi. Na akiwa na mguu mzuri watasema anayo miguu mizuri au guu la bia etc. Na mwenye shepu anashepu tuu akiwa na sura nzuri pia watasema "ni mzuri huyo afu ana shepu". Shepu ni lile umbile na...
Binti una bahati sana. Hongera kwa uamuzi wa kuolewa.
Naona kuwa mahusiano yako na ya dada yako inabidi yaheshimike no matter tabia zake hizo. Nahisi anasumbuliwa na upweke na anaona ueye anastahili kuolewa kabla yako sababu ni mkubwa.
Wewe endelea na mipango yako. Lakini ni vyema pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.