Recent content by Eustow Jw

  1. Eustow Jw

    Ficha mafanikio yako

    Hakika
  2. Eustow Jw

    Uliwezaje kuzivuka changamoto na magumu uliyopitia maishani?

    Wakati huo Utapewa ushauri tofautitofauti, Mwisho kabisa final say utakuwa wewe mwenyewe tu, Kikubwa uwe na subira.
  3. Eustow Jw

    Diamond ana miaka 33 na wewe una miaka 33 ila wewe huna kitu

    Hicho kimekuwa ni kipengele cha kumfanya mtu ashindwe kuweka bayana umri wake pindi happy birthday yake ifikapo, Na endapo atataka kugombea nafasi za ajira ndipo hutaja, Huo ni uoga tu "ukijilinganisha sana utaumia mno"
  4. Eustow Jw

    Namuwaza sana, nifanyaje?

    Kwa wakati ule umuhimu wake haukuonekana leo hi ndo unauona? Any way tafuta namba yake la sivyo location yake, Uwe jasiri kuongea bila mawaa.
  5. Eustow Jw

    Wazo bunifu: Ma IT wa JF

    Kwa fake Id nadhani watu wataogopa kujitokeza live, Kuhofia usalama wao.
  6. Eustow Jw

    Mwanafunzi aliyebadilishwa namba ya Mtihani afaulu kwa alama A

    𝐒𝐚𝐟𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚, 𝐚𝐦𝐞𝐬𝐡𝐚𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐲𝐚 𝐮𝐛𝐚𝐝𝐡𝐢𝐥𝐢𝐟𝐮 𝐰𝐚 𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐡𝐢𝐢, 𝐖𝐚𝐧𝐚𝐟𝐮𝐧𝐳𝐢 𝐰𝐚𝐰𝐞 𝐰𝐞𝐩𝐞𝐬𝐢 𝐛𝐢𝐥𝐚 𝐡𝐨𝐟𝐮 𝐤𝐮𝐲𝐚𝐚𝐧𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐚𝐛𝐚𝐲𝐚 𝐡𝐚𝐲𝐚, 𝐊𝐰𝐚 𝐡𝐢𝐥𝐢 𝐧𝐢 𝐝𝐡𝐚𝐡𝐢𝐥𝐢 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢 𝐰𝐚𝐥𝐢𝐟𝐚𝐧𝐲𝐢𝐰𝐚 𝐡𝐢𝐯𝐲𝐨.
  7. Eustow Jw

    Asante sana Makamu wa Rais Dk. Mpango kupita 'mule mule' nilikosema kuhusu 'Ukame' mkubwa nchini Tanzania

    𝚂𝚊𝚏𝚒 𝚜𝚊𝚗𝚊𝚊, 𝙷𝚊𝚝𝚊 𝚑𝚒𝚟𝚢𝚘 𝙹𝚊𝚖𝚒𝚒 𝚏𝚘𝚛𝚞𝚖 𝚒𝚗𝚊𝚝𝚘𝚊 𝚟𝚒𝚝𝚞 𝚗𝚘𝚗𝚍𝚘 𝚜𝚊𝚗𝚊, 𝙽𝚊𝚊𝚖𝚒𝚗𝚒 𝚔𝚞𝚗𝚊 𝚖𝚊𝚠𝚊𝚣𝚘 𝚢𝚊𝚗𝚊𝚌𝚑𝚞𝚔𝚞𝚕𝚒𝚠𝚊 𝚑𝚞𝚖𝚞 𝚗𝚊 𝚔𝚞𝚏𝚊𝚗𝚢𝚒𝚠𝚊 𝚔𝚊𝚣𝚒 𝚜𝚎𝚑𝚎𝚖𝚞 𝚖𝚋𝚊𝚕𝚒𝚖𝚋𝚊𝚕𝚒, 𝙸𝚕𝚊 𝚔𝚒𝚗𝚊𝚌𝚑𝚘𝚝𝚞𝚊𝚗𝚐𝚞𝚜𝚑𝚊 𝚠𝚊𝚔𝚊𝚝𝚒 𝚖𝚠𝚒𝚗𝚐𝚒𝚗𝚎 𝚗𝚒 𝚋𝚊𝚊𝚍𝚑𝚒 𝚢𝚊 𝚠𝚊𝚝𝚞 𝚑𝚞𝚖𝚞, 𝙼𝚝𝚞 𝚊𝚗𝚊𝚔𝚞𝚓𝚊 𝚗𝚊 𝚖𝚊𝚠𝚊𝚣𝚘 𝚌𝚑𝚊𝚗𝚢𝚊 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚖𝚊𝚝𝚘𝚔𝚎𝚘 𝚢𝚊𝚔𝚎 𝚌𝚘𝚖𝚖𝚎𝚗𝚝 𝚜𝚊𝚜𝚊 𝚣𝚒𝚗𝚊𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚣𝚊 𝚔𝚞𝚌𝚑𝚘𝚜𝚑𝚊 𝚜𝚊𝚗𝚊.
  8. Eustow Jw

    Mapenzi yanaumiza jamani. Nisaidieni kutoa hii kitu

    𝑴𝒐𝒔𝒊, 𝙺𝚞𝚓𝚞𝚊 𝚗𝚊𝚖𝚗𝚊 𝚢𝚊 𝚔𝚞𝚓𝚒𝚗𝚐'𝚊𝚖𝚞𝚊 𝚗𝚊 𝚋𝚕𝚊𝚌𝚔𝚕𝚒𝚜𝚝 𝚑𝚊𝚒𝚝𝚊𝚜𝚊𝚒𝚍𝚒𝚊 𝚔𝚠𝚊𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚋𝚊𝚍𝚘 𝚊𝚝𝚊𝚔𝚞-𝚋𝚕𝚘𝚌𝚔 𝚝𝚞 𝑷𝒊𝒍𝒊, 𝙹𝚒𝚑𝚊𝚍𝚑𝚊𝚛𝚒 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚗𝚊 𝚖𝚝𝚞 𝚊𝚖𝚋𝚊𝚢𝚎 𝚊𝚗𝚊𝚔𝚞𝚘𝚗𝚢𝚎𝚜𝚑𝚊 𝚞𝚜𝚘 𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 𝚏𝚞𝚛𝚊𝚑𝚊 𝚒𝚕𝚒 𝚑𝚊𝚕𝚒 𝚖𝚘𝚢𝚘𝚗𝚒 𝚊𝚖𝚎𝚌𝚑𝚞𝚔𝚒𝚊 𝑻𝒂𝒕𝒖, 𝙺𝚒𝚒𝚗𝚒 𝚊𝚞 𝚔𝚒𝚠𝚊𝚗𝚐𝚘 𝚌𝚑𝚊 𝚖𝚒𝚐𝚘𝚐𝚘𝚛𝚘 𝚢𝚎𝚗𝚞 𝚞𝚗𝚊𝚒𝚓𝚞𝚊 𝚔𝚠𝚊 𝚔𝚒𝚗𝚊 𝚒𝚗𝚐𝚊𝚠𝚊 𝚑𝚞𝚓𝚊𝚎𝚕𝚎𝚣𝚊 𝚒𝚗𝚍𝚎𝚎𝚙 𝚑𝚞𝚎𝚗𝚍𝚊 𝚖𝚊𝚔𝚘𝚜𝚊 𝚞𝚗𝚊𝚢𝚘 𝚠𝚎𝚠𝚎 𝐍𝐧𝐞 𝙺𝚊𝚖𝚊...
  9. Eustow Jw

    Je huu ndiyo udukuzi unavyokuwa?

    Unamaanisha wanachukua taarifa zangu ?
  10. Eustow Jw

    Je huu ndiyo udukuzi unavyokuwa?

    Habari wanajukwaa. Naombeni msaada wenu Kwa anayejua hili tatizo ambalo lipo kwenye laini yangu ya Vodacom Mara kadhaa kwenye simu yangu nasikia inasema Samahani namba unayopiga haipatikani Kwa sasa tafadhari jaribu tena baadaye, Baada ya muda tena inajirudia hivyohivyo, Wakati mwingine...
  11. Eustow Jw

    Tabia ya kumtext mtu au kuanza mazungumzo kurupu anasema nipange au niambie huwa inakera sana

    Pamoja na hayo, mimi huwa sipendi kabisa mtu ananipigia simu naitika halafu yeye ananitaja jina langu, Haitoshi tena anauliza uko wapi? Kwakweli Mimi maswali hayo huwa siyajibu kama anavyotarajia.
Back
Top Bottom