Recent content by Eumed15

  1. Eumed15

    JamiiForums Tanzania Dunia ilikuwaje kabla ya uhai?

    Kwenye story kwa 70–85% kisayansi ni sahihi ila kuna mambo umepamba ili kuvutia (dramatic storytelling) pia baadhi ya vipengele ni nadharia bado, si facts kamili Kwa kifupi: Dunia ya mwanzo haikuwa rafiki kwa uhai wa leo, lakini haikuwa “kuzimu halisi” kila sehemu muda wote kama ulivyoeleza.
  2. Eumed15

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Maiti inayotembea

    Navuta kiti kukusubiri
  3. Eumed15

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ewe mwanaume usinunue ng'ombe Kijiji ulichotoka

    Ujumbe hauna uhusiano na ng'ombe
  4. Eumed15

    JamiiForums Tanzania Mambo 5 Niliyoyaona leo Azam vs Simba Uwanja wa Amani

    Kinaonesha alichoandika ni pumba
  5. Eumed15

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi: Siioni Simba ikipata ushindi mbele ya Azam

    Njoo utupe ushuhuda kuhusu utabiri wako
  6. Eumed15

    JamiiForums Tanzania kwa nini kila timu ikija kucheza na Simba wanakuja na vyakula vyao na wanapikia ubalozini?

    Umeanza lini kufatilia mpira wa kiafrica.
  7. Eumed15

    JamiiForums Tanzania Haya mambo ni magumu. Yamenifika kooni naomba ushauri

    Wajibu wake kukuzaa alisha timiza so pambana tafuta hela tu ndugu, ikitokea anashida msaidiye ndiyo mama yako huyo
  8. Eumed15

    JamiiForums Tanzania Kiswahili?

    Kompyuta ni Talakirishi Calculator ni Kikokotozi
  9. Eumed15

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninamzidishia baba 500K kila nikitoa hela

    Upo sahihi
  10. Eumed15

    JamiiForums Tanzania TFF itoe adhabu kali kwa Simba kwa kumchezesha mchezaji wa timu nyingine, Singida FG na kagoma waadhibiwe kwa udanganyifu

    Kwa nini Kagoma hana haki ya kucheza Yanga ikiwa anamkataba na Yanga ?. Na je unaufahamu kuwa Kagoma analeseni ya kucheza Simba. Kagoma kawaigiza Cha kike Yanga narudi Tena Simba hausiki hapo.
  11. Eumed15

    JamiiForums Tanzania TFF itoe adhabu kali kwa Simba kwa kumchezesha mchezaji wa timu nyingine, Singida FG na kagoma waadhibiwe kwa udanganyifu

    Aliyetoa idhini ya Kagoma kucheza Simba ni TFF, Kagoma hivyo ni mchezaji halali wa Simba, ishu za mkataba wa Kagoma na Yanga, Simba hausiki.
  12. Eumed15

    JamiiForums Tanzania Tabora United kachukueni pointi zenu 3 kwa Kagoma, mchezo ni batili.

    Simba inahusika vipi hapo
Back
Top Bottom