Kama amelinunua kwa fedha zake muacheni tu maana huenda haoni kwa uzao wake ni nani mwenye akili ya kuendeleza hiyo mali.
Pia huenda kwa anavyo ona akili za wanae na nduguze watakuja kulogana na kuuana sababu ya hilo shamba pindi atapofariki.
Kwahiyo ameona bora ajitengenezee kanjia kembamba ka...
Kwanza kabisa tunapaswa kutambua kuwa Mungu ni Roho Yoh 4:24 na vinavyoweza (kuwa na mahusiano nae) ni viumbe vilivyo Rohoni (Spiritual realm) ndio maana tuna Roho Malaika na shetani rasilimali na Mungu (Ayu 1:6-8)
Turudi sasa kwa Mwanadam, Mwanadam/ mtu nikiumbe kilicho na vitu muhimu muhimu...
“Most people do not really want freedom, because freedom involves responsibility, and most people are frightened of responsibility.” - Sigmund Freud
”Watu wengu hawataki uhuru wa kweli, sababu uhuru unahusisha jukumu, na watu wengi wanaogofya jukumu” - Sigmund Freud
Wakati tunaendelea na...
“Most people do not really want freedom, because freedom involves responsibility, and most people are frightened of responsibility.”
Sigmund Freud
”Watu wengu hawataki uhuru wa kweli, sababu uhuru unahusisha jukumu, na watu wengi wanaogofya jukumu”
Sigmund Freud
Wakati tunaendelea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.