Recent content by Ethan3

  1. Ethan3

    Natafuta Bakery mzuri nifanye naye kazi.

    hello ladies and Gentlemen. nahitaji bakery mzuri wa kuniuzia mikate na andazi, nipo mikoa ya kusini, hivyo preferable awe maeneo ya mbagala ili kurahisisha usafirishaji. tuwasiliane inbox.
  2. Ethan3

    Wanawake wengi hawajui kinachoendelea nchini na duniani

    😃😃 na wenye kujua mambo mengi wengi ni viburi, watata, hawana heshima kwenye mahusiano yao, sio wanyenyekevu, kifupi acha yawe vile vile yalivyo
  3. Ethan3

    Ukiajiri ndugu zako kwenye biashara zako una 95% za kufail

    Wahenga; zimwi likujualo halikuli likakwisha, inategemea na mtu mwenyewe, uzuri wa ndugu akiwa na akili nzuri ni rahisi kumwelekeza kwa mifano halisi ya nyumbani na watu wa karibu, na kumwelekeza kuwa malengo yenu ni kufika mbali awe makin.
  4. Ethan3

    Nina Milioni 12 na nina mawazo ya kufanya biashara moja kati ya hizi mbili. Naombeni ushauri

    Habari wana Jamii forums Ee bhna katika harakati za huku na kule nmefanikiwa kujikusanya nina 12 milioni, kichwa kinawaka moto, sjui nifanye biashara gani Nipo mkoani kwenye hii mikoa ya pwani yenye shughuli kuu za uvuvi. Nina kijana ambaye nawaza atakuwa muuzaji na mie nitakuwa msimamizi coz...
  5. Ethan3

    Kilimo cha nyanya msimu wa 2021/2022

    Acha ushamba na ww, tena Kuna mbegu za kulima in Greenhouse unavuta had miez 4_5. Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
  6. Ethan3

    Naombeni ushauri kuhusu kilimo cha nyanya

    Upo mkoa Gani ndg? Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
  7. Ethan3

    Water pump ya nchi ngapi inaweza peleka maji mita 400/zaidi?

    Habarini wana jamvi, kama kichwa Cha Uzi kinavyosomeka, napenda kujua ni water pump nchi ngapi inayoweza kupeleka maji mitaa 400 au zaidi kwenye eneo lenye mwinuko wa wastani?. Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom