kila jambo unapoliandika ukijuwa kabisa litakutana na fikra pevu litazame kwanza RC wa dr hajakosea kutangaza Vita na watumiaji nawauzaji wamadawa ya kulevya yuko sahihi lakini utaratibu anao tumia nimbovu wakutangaza nakusmulu watu wafike mituo chapolisi ambayo nikinyume na sheria hivyo basi...
kazi ya mungu ningumu sana nahasa pale unapo taka kufanya kazi ya mungu kwa jeuri yako mungu hakosi kukuumbua naipenda nyimbo moja ya mgogo anasema usipotelee mwisho
hawa mtumbo mbele wanamambo ya ajabu sana hizo viza zifuatiliwe tu na maja achukua hata stahiki so kutunza mijitu ilo zoea kufanya kazi ikiwa imejilaza
ametoa mtazamo hajasema aondoke naujue sio mtu pekee anaweza kutambua mapungufu yake hadhira ndio wanaona haijalishi niwa upande ipi leo hii watanzania wana sema trump hafai kuwa raisi je? Hawa niwa marekani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.