Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 3,978
- 4,743
mara nyingi watu tunafikiri ya kuwa kila tulicho nacho ni bidii zetu. na mbaya zaidi tunasahau maumivu tuliyoyapata wakati tulipo wapa mimba watoto wa wenzetu. ila tunajiona washindi na kuwaona waliochelewa kuzaa kama wazembe na wasio na watoto kama hawana maana kabisa hapa tunakosea sana.Ndio ni kijana, lakini kinguvu si sawa kwa umri huu katika kukabiliana na changamoto za utafutaji wa mahitaji yake.
Ina maana mtoto akifika 20 baba ana 60.....akhaaa!!!
Mtoto akiwa na 30 baba 70, uwiano 0 hapo.
Mie mwanangu nimemzaa nikiwa na 16, yuko form 3, nina uhakika wa kumlea na kuwaona mpaka vijukuu vyake.
We unadhani huyo atawahi kuviona, tena mtoto mwenyewe alikuwa wa kiume (r.i.p)?
inabidi tushukuru na sio kuleta mishangao inayowaumiza watu wengine.
naomba nikili binafsi hili linanihusu sana tu