Usalama zamani siku hizi wamekuwa kama walimu. Wanajitangaza mitaani kilammoja anajua huyu usalama. Enzi za Mwalimu usalama akifa ndo unajua Kuwa alikuwa usalama wa taifa. Hata mkeo hajui, leo hii mtaa mzima unakujua.
mmmh mimi huwa nasafiri sana ko nna experience ya kutosha
Nikikaa na mkaka kwakweli huwa nasikia raha sana afu mi mchokozi hayawezi kuisha masaa mawili bado hatujaongea jamani hata salam?
ha ha huwa ikifika muda wa kula watu wanashuka anakuuliza vp dada hushuki? nawaambiaga mmh sijisikii vizuri...
ha hah a jamani ni sote ndiko tulikotoka kabla hujaja mtaani unachagua kazi lkn mtaa unakufundisha nini cha kufanya! nampongeza kijana at least ana ndoto ila tu tumweleze anatakiwa kucheza kulingana na mdundo wa ngoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.