Recent content by Eshacky

  1. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Je, Mafia Kisiwani kuna barabara za lami?

  2. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Je, Mafia Kisiwani kuna barabara za lami?

  3. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Je, Mafia Kisiwani kuna barabara za lami?

  4. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Maisha Plus - mchezo wa zama za ujima na mateso kwa vijana

    umeng'ang'ania mfano wa jeshi, unauhakika au stori za kusikia.. hayo mapori yenye nishat yaliota kama uyoga ama waliyandalia hayo mazingira wao wenyewe..
  5. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Maisha Plus - mchezo wa zama za ujima na mateso kwa vijana

    anaposema wanaishi kwa adhabu anasahau 80% ya watanzania ni wanaishi vijijini wakiwa na mazingira magum sana ya upatikanaji wa hudumaa muhimu. hapo wamepewa means za kuishi maisha standard kwa kushirikisha nguvu zao akil na umoja wao. mfano wanatakiwa wajenge nyumba wamepewa kila kitu ila...
  6. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Maisha Plus - mchezo wa zama za ujima na mateso kwa vijana

    ulishawah angalia season za awali za maisha plus? tangu ilipoanza kama miaka 3 nyuma..
  7. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Tuhabarishane:Maisha Plus East Africa-2016

    i itaonyeshwa tena saa 2 usiku.
  8. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mzee Yusuph

    mshana jr attach na hizo nyimbo za zaman, bandiko likamilike.
  9. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Madamoto: Uendeshaji wa bandari kitaalam

    asante kwa taarifa
  10. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    joshi murunga ni producer wa vipindi vya salama jabir..
  11. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Madalali wa NHC wavamia ofisi ya gazeti la Tanzania Daima

    dawa ya deni kulipa.
  12. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Woiso Original Leather Products ya Tanzania, Voted best in the world

    mi kweli na wanatengeneza four angle nzur kbs. kuharibika kwake ni wewe kuamua kukitupa. nilishafanya nao biashara ya dawa za viatu wako vizuri sana
  13. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    kisiasa, kiuchumi na kitamaduni bado tunasuasua
  14. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    mkuu wa kaya na lowasa walikula mvinyo jana kwa bashasha
  15. Eshacky

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya kubeba tarehe moja kama ni mshiriki operation UKUTA

    viatu vya kimichezo kwa ajili ya kutoka nduki ama? sijaelewa kamanda..
Back
Top Bottom