Recent content by escotter

  1. E

    Rais Magufuli awateua Abdallah Bulembo na Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Wabunge

    mkuu tulie tu na kuombolezwa..kuna jitihada kubwa ya kuua nguvu ya wapishi wa katiba ys warioba.. ukianza na warioba mwenyew tang ateuliwe basi katiba kaitupa huko huyu kijana humphrey polepole.tqng ateuliwe basi kaachqna na katiba zimebaki propaganda.mara ooh ntazungumza ndani ya chama oooh...
  2. E

    Rais Magufuli awateua Abdallah Bulembo na Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Wabunge

    mkuu hii ni shida kweli.....mwishowe watu wote ambao ni potential watamalizika kibaya zaidi huko waendako hawaendi kuongeza tija yeyote zaidi ya kumpigis makofi mshereheshaji
  3. E

    Rais Magufuli awateua Abdallah Bulembo na Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Wabunge

    prof .kabudi alikuwa na msimamo mkali sana juu ya katiba ya wananchi ya warioba .. sasa hii ya kuteuliwa tuielewe kuwa mchawi mpe mtoto akulelee au mtoto akilia njaa mpe pipi atatulia hata sijui.. ila kwa uzoefu wangu tunaenda kumpoteza kabudi kama mtetezi wa katiba ya wananchi soon atapewa...
  4. E

    Sheikh Mkuu DSM: Diamond acha utani na Mungu, utapotea

    mambo anayoyafanya huyu sheikh wa bakwata huko faragha ni dhambi kubwa sana afadhali hata ya diamond ambae hata si kiongozi wa dini
  5. E

    Hili la makampuni ya simu kulazimishwa kujiunga na soko la mitaji limekaaje?

    kuwalazimisha makampuni yajiunge DSE sio uamuzi sahihi kabisa.. watu wanajificha kwenye mgongo wa maslahi ya wananchi uongo mtupu... unakuta kipande cha hisa cha chini kabisa kinauzwa labda 520 halafu sharti ununue vipande 1000..maskini gani ana uwezo huo?? haya suala la eti ..haya makampuni...
  6. E

    Ikiwa kubana matumizi ni kufuta posho kwa watumishi wa umma, futeni na posho za askari

    kwanza hizo posho wao wa juu wamejifutia...yaan presdaa,makamo na wasiri mukuuu?? kama na wao wamejifutia apo sawa kabisa
  7. E

    Ziwa Nyasa ni milki halali ya Malawi

    ustadhad faizza salaam.. umekuwa na jazba sana juu ya hili suala nakusihi punguza munkari ... kwanza nikuulize unajua kwa nini malawi wanasema ziwa ni lao...?? kuna mambo mengi sana hayaja andikwa kama ambavo wazee wetu waliopigania uhuru hawajatajwa.. tanganyika ilipora sehemu nying tu..mfano...
  8. E

    Ziwa Nyasa ni milki halali ya Malawi

    mkuu ziwa haliko mpakani..malawi wanasema kuwa ziwa lote ni lao na kama ndivo ilivo hivo..maana ake hiyo international law haiwezi kuwa applicable hapo
  9. E

    Samia Suluhu aipongeza Azam TV kwa kutoikosoa Serikali sana

    nchi hii...inamatatizo makubwa sana ubongoni
  10. E

    Samia Suluhu aipongeza Azam TV kwa kutoikosoa Serikali sana

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  11. E

    Hatimaye Bwanaharusi Aliyekimbia Ndoa Kanisani Arejea na Kufunga

    watu hamjui nini chanzo cha bwanaharusi kukimbia na kwa nini karudi ..mnaongea ujinga tu.. ni hivi.bibi harusi alishawahi kuolewa ndoa ya kiislamu huko akazaa mtoto mmoja wa kike baada ya muda ndoa ikavunjika.. na yule mtoto akawa anakaa kwa bibi upande wa baba saivi anamiaka kama siyo nane au...
  12. E

    Dkt. Ayub Rioba kwishaaa, leo hajai hata kwenye kiganja

    achana na njaa ...ni mbaya sana..nakumbuka midahalo kibao dr ayoub rioba akichangia juu ys tasnia ya habari kwamba iwe huru na yenye tija..tang ateuliwe kuwa tbc mdomo mzito kaumwa na nyigu
  13. E

    Tetesi: Waziri Maghembe kutumbuliwa

    kama huyu faru john alipigwa deal basi wapigaji wamepiga deal kwa kutumia akili nyingi sana.. siku ya kwanza PM anauliza kwa nini alitolewa serengeti? anajibiwa majibu ya kitaaluma mpaka anaishiwa nguvu. 1.faru john aliondolewa setengeti kwa sababu tulitaka ku control in breeding 2.aliondolewa...
Back
Top Bottom