Inasikitisha kuona timu kubwa kama Yanga ambayo imeupachika uwanja wake jina la Kenneth Kaunda Stadium inashindwa kutoa hata taarifa ya kusikitishwa na msiba wa mwanamajumui huyu wa Afrika.
Ndio kusema Viongozi hawana taarifa ya msiba huu au hawajui vinasaba vya Kenneth Kaunda na Yanga?
======...
Mbona hamlalamiki mtu akiapa " Naapa kwamba nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nitaitumikia kwa moyo wangu wote..."
Hadi hapo humjui Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Kwa upande wangu nafikiri hiyo ndio njia sahihi ya utawala bora. Kuwashirikisha wengine. We humsikii akiongea lazima aweke maneno "tutafanya, tutashughulikia, tutajadiliana" n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.