Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Hiyo sura ya bi harusi haionyeshi matumaini ya kudumu katika ndoa..ni wale mademu anayedai anaolewa ili na yeye asipitwe kuwa aliwahi kuolewa. Kwanza si alidai aliolewa siku za nyuma then akajifanya kutifuana na mumewe? Sasa vipi kimenoga kwa huyo dogo nini? atavumilia marungu ya vijana wa Kova kwa maelekezo ya magamba kama alivyomtokea Mrs Slaa? Maana sister du sana huyu shori....