Kuhusu value elimu ya bongo ni tabu
Elimu waliyo nayo Ina value ndogo sana.. kulingana na Dunia ilivyo sasa
Kuhusu uchawa
ni njaa hakuna mtu alidream/anapenda kuwa chawa chawa.,.....,,, ukiona uwezi shindana peke Yako ungana na wakuu
Dar bandari ndo kishika uchumi fanya biashara kama unaweza mnashindano
Lakin Kam unafuga
Unataka kulima?
Kuchimba madini?
Au Uvuvi
Nenda uko mikoani afu leta bizaa hapa dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.