yeyote anaeweza niwezesha kupata joining instructions za kantalamba high school ipo sumbawanga na tumaini secondary school ipo singida nina madogo wangu wamechaguliwa!
Wakuu naomba msaada nna mdogo angu amechaguliwa kwenda f5 Kantalamba, hatujapata joining instruction kama kuna yeyote mwenye contact za shule naomba mnipatie
Naomba msaada wenu sababu nimejaribu kuwapigia TCU simu haipokelewi;
Ni hivi nlikosa 1st selection, nika apply 2nd selection, wakaniambia, CONGRATULATIONS YOU HAVE BEEN SELECTED.
Sasa hivi wamenitumia msg tena kwamba nichague list ya vyuo kwa sababu sijachaguliwa due to competition hawa...
ulitaka nitoe 10,000 ndo kumalizana kimya kimya! inabidi utambue kua trafik wengi hawatumii akili wako ka robot yeye alikua anajijitetea et mkubwa wao kawambia kila trafik akusanye pesa kiasi fulani ; shame on them
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.