Bradha kosa lipo, side mirror yako inakreki haijalishi ndogo au kubwa. Muhimu ni kumalizana kimya kimya na hivi ulivyofanya ni kuzidi kumpaisha na kazi nzuri aliyofanya ya kuongeza pato serikalini.
Labda namna ya kuwasilisha maelezo yake ninachokifahamu ni kuwa taratibu zao ni kuwa wanatakiwa kupeleka makosa sitini kiidadi kwa mwezi hivyo ni sawa na makosa mawili kila siku ya mungu iendayo.ulitaka nitoe 10,000 ndo kumalizana kimya kimya! inabidi utambue kua trafik wengi hawatumii akili wako ka robot yeye alikua anajijitetea et mkubwa wao kawambia kila trafik akusanye pesa kiasi fulani ; shame on them
Mkuu watu8, hivi hili huwa ni kweli!??
Halina mjadala hilo mkuu...
Kuna wakati hawa jamaa walikuwa wanatumia risiti feki, baadaye ikaenda wakashtukiwa wakaanza kupeleka wakosefu kulipa vituoni lakini siku za karibuni vile vitabu vya risiti feki vimerudi tena...
Halafu wasivyo na haya wana kawaida ya kuvamia barabara moja kama kikundi hivi na kufanya ambush ya kila gari wanalojisikia kulisimamisha...
Huwa wanahama barabara moja kwenda nyingine, na kwa siku za karibuni wamekuwa wakipiga kambi maeneo kama Kimara Mwisho pale barabara zinapo-merge, Sinza Kijiweni hapa karibu na Puma, Mlimani City/Survey, Mnazi Mmoja karibu na kituo cha UDA za kivukoni (hapa hupendelea sana kuwepo siku za weekend), kuna wakati mwingine hupenda kuwa kula Coco Beach.
Kwa bahati nzuri sisi wengine tuna namba za wakubwa ndio inakuwa afadhali yetu lakini unakuwa ushapotezewa muda...
Labda namna ya kuwasilisha maelezo yake ninachokifahamu ni kuwa taratibu zao ni kuwa wanatakiwa kupeleka makosa sitini kiidadi kwa mwezi hivyo ni sawa na makosa mawili kila siku ya mungu iendayo.
Kamanda Mpinga askari wako wa barabarani (Trafik) mwenye Namba F.3652. Ni mfupi mweupe. Leo muda mfupi uliopita kanisimamisha nikiwa naendesha gari maeneo ya makutano ya barabara ya shekilango na Morogoro, baada ya kuona sina kosa akanambia nimpe elfu 10,000 niende nikakataa akaamua kuniandikia faini eti side mirror ina cracks. TAKUKURU na wanaohusika mchunguzeni.
Wewe acha u bushlawyer krek ni krek tu kama haungekuwa na kosa si ungeenda nae kituoni.
wachukueni video muwaweke hapa, siku hizi karibia kila mtu ana simu yenye video camera, wengine wan akalamu na miwani yenye camera, hivyo ni rahisi kumchukua mtu bila yeye kujua.Kamanda Mpinga askari wako wa barabarani (Trafik) mwenye Namba F.3652. Ni mfupi mweupe. Leo muda mfupi uliopita kanisimamisha nikiwa naendesha gari maeneo ya makutano ya barabara ya shekilango na Morogoro, baada ya kuona sina kosa akanambia nimpe elfu 10,000 niende nikakataa akaamua kuniandikia faini eti side mirror ina cracks. TAKUKURU na wanaohusika mchunguzeni.
ushahidi si ni faini aloniandikia wakati kosa sina ,,,side mirror ina crack ndogo sana
Inauma ndani ya nchi yako unapoamua kuripoti uovu unaonekana mjinga. Rushwa imekua jambo la kawaida kiasi kwamba ukilalamika kuombwa rushwa unaonekana mjinga