Nami pia yamenikuta nimekuja kukatwa shs 4000 kwa mara zote nne nillzokuwa nikijaribu kununua kifurushi cha intaneti cha sh 1000 bila kupata majibu.
Mwishowe jaribio la mwisho mchana ndiyo kikaja kifurushi kimoja na msg 4 za mrejesho wa manunuzi lkini nimekatwa hela ya vifurushi 4.
Acheni uhuni...
Sababu ni kwamba Bara hili halijajaaliwa kuwa na viongozi aina ya Lee kuan Yew wa Singapore au Mahathir Mohammad wa Malaysia. Ndo maana hatuna nchi ambazo unaweza kuziita "African Lions" ukilinganisha na zile "Asian Tigers" za Asia -- yaani S. Korea, Taiwan, Singapore, Malaysia na Thailand.
Hadi sasa hakuna clarification ya kusema JPM amenukuliwa vibaya na vyombo vya habari kuhusu sh 5000 kwa trafiki si rushwa bali ni hela ya kubrashi viatu!
Wiki sasa inakatika na Kurugenzi Mawasiliano Ikulu kimyaaa!
Kwa hiyo rushwa kwa trafiki ni halali?
Kampuni hii ni jipu kweli na inadaiwa inahusika katika sakata la kina Kitillya na wenzake. Tusisahau ilitajwa sana ktk lile sakata la Jairo ambapo ilidaiwa wizara ya Nishati iliwalipa mamilioni katika kufanikisha azma ya Jairo kuwaandaa Wabunge wakubaliane na bajeti ya wizara wakati ule.
Hilo gazeti nimelitafuta sana leo nimeambiwa na waizaji wa meza kwamba wameyauza yote kwa mama wauza vitumbua kwani huwa haliuziki linapoteza nafasi mezani.
By the way Mods mbona unaruhusu habari hii hii moja kuletwa kupitia threads nyingi? Nawe una masilahi ya uongo huu? Tuambie la sivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.