Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,232
- 609
Kuna taarifa ambayo nimeipata muda mfupi uliopita na nimeileta kama tetesi ili kama kuna mtu anayo taarifa kamili atujuze vema kuhusu hili la Rais John Magufuli, amemhamisha Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Paul Chagonja kwenda Jeshi la Zimamoto kuwa Kamishna Jenerali wa Zimamoto.
Pia katika mabadiliko hayo, Jonathani Kahatano amepelekwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA)
=======================
Update;
Amiri jeshi Mkuu wa majeshi ya ulinzi na Usalama amefanya mabadiliko madogo katika utendaji wa Jeshi la polisi na kumhamishia Kamishna wa Operesheni na mafunzo, CP Paul Chagonja kuwa Kamishna Mpya wa Jeshi la Uokoaji na Zimamoto.
Pia katika mabadiliko hayo, Jonathani Kahatano amepelekwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA)
=======================
Update;
Amiri jeshi Mkuu wa majeshi ya ulinzi na Usalama amefanya mabadiliko madogo katika utendaji wa Jeshi la polisi na kumhamishia Kamishna wa Operesheni na mafunzo, CP Paul Chagonja kuwa Kamishna Mpya wa Jeshi la Uokoaji na Zimamoto.