Suala la efd ndio mtihani kabisa! Nimekwenda kuupdate mashine yangu mwisho was cku nikaambiwa kampuni niliyonunua wakayi huo imeshafungwa au haipo sasa naambiwa ninunue mashine nyingine ambayo ni sh 590000! Sasa najiuliza kosa langu ni lipi? Kama kampuni ishafungwa kwa nini kusitafutwe utaratibu...
Washatuona cc watanzania HATUNA AKILI! Kwa 7bu anaweza akasimama kiongozi anayeaminika na pia ni MSOMI mzuri kabisa lkn akaongea kitu ambacho hata mtu mwwnye Akili ya kawaida AKAMSHANGAA! Haya mambo kuna wengine WANAYAFURAHIA kbs lkn TUSIPOPIGA kelele ya KUKEMEA ipo siku tutakuja kuona MAAJABU...
Huu Uhuru wa kutoa maoni wakati mwingine SIO KABISA! Kwani unaweza ukatoa maoni yako bila kuyatafakari na ukajikuta umetoa pumba! Na watu wenye UELEWA wakakushangaa na wewe mtoa maoni ukawa unajichekea tu kama zuzu kwa kujiona USHATOA MAONI YAKO!
Wanyonge ni watu wenye cfa gani? Maana kila sehemu mwananchi akilalamikia jambo anajiita MNYONGE! Nisaidieni ili nami nijue icjekuwa nami ni MNYONGE ila cjijui tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama tetesi hii itakuwa kweli bc kama ANGECHAGULIWA kuwa mwenyekiti bc ANGEANDIKA historia kwa mwenyekiti was chama kikuu cha upinzani KUUNGA mkono JUHUDI!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ULEVI tu wa MADARAKA! Wanafika wakati wanajitoa UFAHAMU! Wanatuona watanzania kama PUMBA tu! Hatuna akili! Hatuna ufahamu! Hivi mtu mwenye Akili TIMAMU unaweza kumwambia hivyo wakati kila mtu ANAJUA vyama vya upinzani VINAFANYWAJE?
Maelezo ni mengi sana! Lkn UANGALIE tatizo linatokea wapi? Siasa INATUGAWA sana WATANZANIA! Kiongozi akishachaguliwa bc ni kiongozi wa WOTE eidha umchague au ucmchague! Lkn viongozi wetu hasa walioko madarakani ndio WANAONGOZA kwa KUTUGAWA! Hebu WASEME pale unapoona kuna UBAGUZI! Mf chukulia...
Cku zote watanzania ni WANYONGE! Mwanzo tulikuwa wanyonge kwa MAFISADI lkn sasa ni wanyonge kwa WANASIASA! Na TUTAZIDI kuwa WANYONGE japo CJUI mpaka lini? Wanaongea mbele ya HADHARA bila haya wala wcwc! Lkn mioyoni mwao WANAJUA kabisa kwamba ukweli ni UPI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.