Recent content by erick13

  1. erick13

    TB Joshua ni mgeni wa nani nchini Tanzania?

    alikuja kuleta ujumbe wa Mungu kwa wezi na vibaka watubu lasivyo watakiona cha mtema kuni
  2. erick13

    Lipumba 'ajirudisha CUF' kiaina

    bado ni mwanachama cuf siyo kiongozi. kaongea kama mwanachama
  3. erick13

    Uko wapi Dk Wilbroad Slaa? Njoo ushuhudie anguko la Mafisadi

    mkuu hiyo tumechenji gia angani. Lowassa Raisi asubuhi
  4. erick13

    Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

    keep quit or shut up ur mouth Mr kikwete
  5. erick13

    Mikutano ya Lowassa Ngorongoro, Kilindi, Handeni na Tanga Mjini - Oktoba 21, 2015

    safi sana... chama cha majizi lazima kitoke bado siku 3
  6. erick13

    Tutasogea mita2 mashaka yakijitokeza

    Ok tukae mita200 kusubili matokeo yabandikwe na mshindi atangazwe sawa. Iwapo tutatia shaka ya kinachoendelea ndani tunahaki kusogea zaidi ya mita2 kuhoji kwa sababu jeshi la polisi na tume ya uchaguzi wote wako chini ya mwenyekiti wa ccm hatuna imani. Ndg wamajamvi mkuu wa kaya katoa tamko...
  7. erick13

    Chanzo cha ajali ya chopa iliyombeba Filikunjombe

    chopa za ccm ni chakavu kama chama chao.
  8. erick13

    Kutoka Dodoma: Sherehe za Kilele cha mbio za Mwenge, Rais Kikwete ahutubia

    kwa faida za mwenge ni zipi? maana nashangaa
  9. erick13

    Star TV mjutie na mjifunze

    Startv imekuwa kama tv ya kijani sasa propaganda kibao
  10. erick13

    Ugomvi wa Lowassa na Kikwete wawapumbaza Watanzania

    kama habari inavyosema maneno hayo yote ni ya vijiwe vya kahawa basi nasisi tunaamini hayana maana wala ukweli wowote.... CCM lazima watoke mwaka huu no matter what?
Back
Top Bottom