Ok tukae mita200 kusubili matokeo yabandikwe na mshindi atangazwe sawa.
Iwapo tutatia shaka ya kinachoendelea ndani tunahaki kusogea zaidi ya mita2 kuhoji kwa sababu jeshi la polisi na tume ya uchaguzi wote wako chini ya mwenyekiti wa ccm hatuna imani.
Ndg wamajamvi mkuu wa kaya katoa tamko...
kama habari inavyosema maneno hayo yote ni ya vijiwe vya kahawa basi nasisi tunaamini hayana maana wala ukweli wowote....
CCM lazima watoke mwaka huu no matter what?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.