Uko wapi Dk Wilbroad Slaa? Njoo ushuhudie anguko la Mafisadi

Uko wapi Dk Wilbroad Slaa? Njoo ushuhudie anguko la Mafisadi

Leo ndo siku ya wahuni ccm kuaga. Kwakwelu tuliichoka vibaya. Kwaheli ccm
 
It does not matter we are going to vote for him then who is slaa anyway?
 
Mkuu sio kwamba imezimiwa ardhini. hii gia ya mbowe haina tofauti na ile iliyopigwa na rubani wa ndege ya malasya, mpaka leo ndege haijajulikana iliko. Mwisho wa chadema ni leo
Mwisho wa chadema mafisadi ni leo yes! Lakini ndio mwanzo na ibuko la chadema asilia. Dr Slaa huko uliko jiandae kuja kuchukua uongozi makini
 
ujanja wa mafisadi mwisho wao leo mbowe atakufa kifo cha mende ndio maana kaanza kutafuta visingizio mara watu walinde kura hayo yote ni kujihami maana ameshaona amecheza pata potea
 
Nipo kwenye foleni karibia watu wote wanasema bila kufunga macho kura ni kwa lowassssssa kwa maana hiyo na lazima tuzilinde
Km mimi nimeangalia vidole viwili nikapiga tiki yangu taaraaatiiibu bila papara....nilianza na diwan..mbunge ya rais nikachukua nikaweka waaaaa....ht sikushughulika kuangalia sura
 
Kwa upepo ulivyo kwenye vituo ccm imeshaangukia pua..... vijana ndo wapiga kura leo na asilimia kubwa wana mabadiliko!!!

Na magoli ya mikono inanaswa vizuri kweli... kingine kibaya ni kuwa mawakala wengi wa fisiem ni wana cdm damudamu...

Imekula kwenu !!!!
 
Dr. Slaa kajigeuza yeye na wala sio Chadema walimgeuza. Kwa mujibu wa maelezo yake yeye Slaa alisema hakuwa na wazo la kugombea Urais na ndiyo maana hata fomu hakuchukua.

Pili Dr Slaa hakufykuzwa Chadema bali alijitoa yeye mwenyewe.
 
OYE OYE OYE Magufuli ameshinda kwa asilimia 72%, wabunge asilimia 68% madiwani asilimia 64% ushindi wa kishindo, Tunamshukuru mola, Ameen
 
OYE OYE OYE Magufuli ameshinda kwa asilimia 72%, wabunge asilimia 68% madiwani asilimia 64% ushindi wa kishindo, Tunamshukuru mola, Ameen

Hahaha inabidi nicheke kwa kukusikitikia
 
mkuu hiyo tumechenji gia angani.
Lowassa Raisi asubuhi
 
Back
Top Bottom