Mpe pole,itakua bahati mbaya kwake lakini vigezo anavyo....kuna mtu nlimfanyia application ya chuo cha ualim O-level alikua na C-3 tena za Kureseat na F Kwa masomo yaliobaki ... .A- level akasoma Kama (PC) akapata E,S,F Kwa combination yake lakini kachaguliwa chuo cha ualim wa secondary Kwa...
#ndio majukumu hayafanani lakini nurse degree holder........
huwezi kulinganisha na CO .......wilayan wanapatkana hata kwenye hospital za mkoa...tena mala nyingi hukaa ofsini Kama viongozi(eg...muuguzi mkuu wa wilaya////mkoa etc
#nmekuelewa mkuu.... Kweli vijana tuache mawazo mgando kua sector ya mafanikio ni afya2 vipo vingi ya muhimu ambavo MTU akisoma anaweza fanikiwa sawa na watalaam wa afya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.