Kalemataka
Member
- Aug 19, 2017
- 48
- 10
Habari zenu wana jf... Nimesoma CBG na kupata Chemistry S, biology E, Geography E nimeapply diploma ya kozi za afya nacte hawajanichagua coz physics O level Nina E nataka niapply za kilimo na ufugaji ushauri wenu wakuu kozi ipi ipo vizuri
Asanteni
Asanteni