Recent content by eraxman

  1. eraxman

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Ni kweli hizo imani zipo, lakin mmezipiga fitna sana kwamba ni potofu mpaka watu wamepoteza mvuto nazo... 'Lets go back to our roots' Na saiv 2naambiwa mtazamo tulio nao juu ya mahusiano ya jinsia moja ni potofu lkn bado watu tunabishi, baada ya muda tutaona kawaida na vizazi vyetu vijavyo...
  2. eraxman

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Hizo dini walikua nazo wao, zimekua tu ziki evolve taratibu! Mfano ktk ukristu kuna Othordox ambayo sasa kuna Ordhodox-Ukraine, Orthodox-Russia zote hzo n tafauti. Kuna RC, Anglican etc nasasa kuna kina Gwajizo, Kakobe, Rwakatare etc yaan kama political parties. Dunia inabadilika na mambo...
  3. eraxman

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    B Babu zetu walikua wanamuabudu mungu huyu huyu ambae wao wanamuabudu, hao jamaa walipokuja wakawahadaa babu zetu na kuwaambia hivo mnavoabudu ni miungu na sio mungu wa kweli! Lkn angalia sasa, sisi wakatoliki tunaendaga kusali kwe sanamu ya bikira maria/yesu makanisani sasa hyo inatofauti...
  4. eraxman

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Kwa waKristu wenzangu ambao kwe makanisa yao wanawekaga hadi bendera ya Israel. FYI Israel is a Jewish State and Jews are not Christians, lkn ndo tunawahusuduuu wakati we don't relate! Yaan ni sawa na kuweka bendera ya Saudi kanisan
  5. eraxman

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Tibet, Nepal & Mongolia walikomaa na tamaduni/iman zao, hawajui Biblia wala Quran Sasa sisi wa C&P tumechukua ya middle east tuka paste pwaaa... Turudi kwe asili yetu ya kutambika! mbona wazee wetu waliweza, turudi kwe iman za mababu zetu
  6. eraxman

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Acheni ubishani wa mambo ya dini... Trump anawaona!
  7. eraxman

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Mimi hua nasema hivi hizi dini TULIZOPOKEA ulikua ni utamaduni wa jamii flan huko kwa wenzetu. Naamini mungu yupo nasisi kabla ya hawa watu kuja ku-polute jamii zetu na huo utamaduni wao wa kuabudu sisi tulikua tuna-abudu kivyetu na miujiza ilikua inatokea kama kawa. Mfano wakati wa ukame watu...
  8. eraxman

    Umiliki na mamlaka ya Zanzibar juu ya kisiwa cha Latham (Fungu Mbaraka)

    Ivi kwan Zanzibar n nchi jmn???
  9. eraxman

    Unlocking Modems and Phones (Kuchakachua Modems na Simu)

    Je una modem/simu unataka ku-unlock ili uweze kutumiamitandao yote? Piga: 0758858489
  10. eraxman

    Ifunda Tech yafungwa kwa muda usiojulikana

    Sema sasa shida n nn!? Ukiacha viulizo husaidii mtu
  11. eraxman

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Game Of the DAY http://goo.gl/K0wUWb
  12. eraxman

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kama ulimiss mechi ya Lecester vs Man Utd Click HAPA http://goo.gl/K0wUWb
  13. eraxman

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    TAZAMA CHELSEA ALIVOFANYA MAUAJI Everton vs Chelsea 3-6 Highlights 2014 Five Goals in 10 minutes Costa Etoo Video .::. PressTZ
Back
Top Bottom