Mkopo ni mzuri kama unautumia kuzalisha, lakini hata kwa kujenga/kununua nyumba kama ulikuwa na huo mpango sio mbaya sanaa, lakini vitu vya msingi kwenye mkopo ni kujua riba yake, malipo yake kwa mwezi na utalipa kwa miezi mingapi(muda gani) na taarifa hizi utazipata bank unayoenda omba mkopo na...
Ndugu nikushauri tu umuombe MUNGU akusaidie kama kuna jambo baya litakuwa linataka kukujia wewe au wa karibu yako akuepushie maana ndoto huwa ni kumbukumbu ya mambo uliyofanya sana au kufikiri kabla ya kulala lakini pia ndoto hutoa taarifa ya yanayokuja so kama ni jambo lililokufanya uamke ukiwa...
Kwa taarifa nilizopewa ni kwamba mwalimu wa higher diploma ananza na laki 5 lakini take home ni laki 4 na kidogo wakati wa degree waliopangiwa mwaka huu wameanza na laki 6 huku take home ikiwa laki 5 na kidogo!
Hii ni hali ya kukichoka chama tawala iliyondani ya watanzania wengi(yaani wanaichukia ccm) , lakini ukweli ni kwamba mtu akibadilika kwanza ndo nchi pia itabadilika(hivyo jambo la ujinga linaingia hapo), hivyo ni vema watu tukafahamu hilo ili upinzani usije ukawaOVERESTIMATED alafu wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.