prado
JF-Expert Member
- Feb 7, 2015
- 216
- 129
Habari wanaJF, nawapenda, nawakubali sana.
Najua humu kuna watu wa aina tofauti,na wamebarikiwa kitofauti, so every one's view is special and important to me!
Me ni jinsia ya 'KE' umri 24+ mwajiriwa serikalini, mshahara not less than mia5 Tshs, sina familia, bado naishi kwetu. Nataka nichukue mkopo wa kujenga nyumba itakayogharimu 50mil (kuna Uzi nimeona humu JF nikahamasika).
Kwa wale wenye uzoefu na masuala ya mikopo pamoja na makato sababu sina uzoefu na ndio kwanza nimeajiriwa,utaratibu ukoje?!
Halafu am not married nor engaged, is it a wise decision to make my own property au nisubiri nipate life partner ili tushirikiane vizuri katika suala la maendeleo?
Thanks.
Najua humu kuna watu wa aina tofauti,na wamebarikiwa kitofauti, so every one's view is special and important to me!
Me ni jinsia ya 'KE' umri 24+ mwajiriwa serikalini, mshahara not less than mia5 Tshs, sina familia, bado naishi kwetu. Nataka nichukue mkopo wa kujenga nyumba itakayogharimu 50mil (kuna Uzi nimeona humu JF nikahamasika).
Kwa wale wenye uzoefu na masuala ya mikopo pamoja na makato sababu sina uzoefu na ndio kwanza nimeajiriwa,utaratibu ukoje?!
Halafu am not married nor engaged, is it a wise decision to make my own property au nisubiri nipate life partner ili tushirikiane vizuri katika suala la maendeleo?
Thanks.