Recent content by Equipment

  1. Equipment

    Msaada: Mawasiliano upande wa udereva NIT

    Naomba kama kuna mtu ana mawasiliano na mwalimu yoyote wa upande wa udereva pale NIT anisaidie.
  2. Equipment

    Car4Sale Canter tipper inauzwa

    Mkuu weka picha zinazoonekana vzr tuone hali ya gari
  3. Equipment

    Mlio safiri na Reli ya TAZARA Tupeane mrejesho

    Wazo zuri lakini kwa meko ataipeleka Rwanda kwanza
  4. Equipment

    Hapa Tarime ving'ora vya ambulance vinalia kila saa

    Hakuna tatizo lolote huku vijijini mkuu labda huyo dereva anawasha tu lakini hakuna tatizo kabisa
  5. Equipment

    Fahamu zaidi kuhusu gari aina ya kuhusu Nissan Juke

    Hii hirizi naiwaza Sana likini naona wadau hawana taarifa za kutosha juu yake
  6. Equipment

    Hivi kuna sheria inaruhusu mtumishi wa afya kumnasa vibao mgonjwa?

    Tatizo la baadhi ya watumishi huwa na nyodo mno huwenda hata Wewe ulianza kujigeuza Mungu mtu kwa mgojwa ikabidi akunyee no Way jaribu kumpiga uone utasakwa mitaani mwisho utakula visu vya makalio
  7. Equipment

    Jenereta FG Wilson zinauzwa

    Mbona biashara hii inakua ngumu Kwa Nini muuze zote kwa pamoja vp kama mtu anahitaji moja Kwa matumizi ya nyumbani
  8. Equipment

    Hali ya Umaskini Tanzania yapungua kwa asilimia hizi, Mkurugenzi ofisi ya Takwimu Tanzania athibitisha hilo

    Masikini Nchi yetu sijui tulikosea wapi yote hayo wanayaongea huku nafsi zikiwasuta ila tu wamfurahishe mwenye Nchi
  9. Equipment

    Uhamiaji hawaoni aibu kutoa passport laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

    Tatizo kubwa lipo kwenye System mpaka leo bado watu wanafanyia kazi miongozo ya Nyerere Nchi zingine zinaenda speed na tekenolojia sisi tunakomaa na Nyerere
  10. Equipment

    Wakenya mmezidi sana mnawataka nini Watanzania aah!

    Hongera Sana wakenya kwa kua na Sammata
  11. Equipment

    Je, kwanini moja ya masharti ya kupewa misaada na mabeberu ilikuwa ni kuzuia matumizi D.D.T

    Hiyo sumu ilitumika enzi za kale Sana na mpaka leo hii baadhi ya sehem ilizotumika wakifanya utafiti kwenye mito na Ardhini wanaikuta ilionekana kua na madhara makubwa Sana na watafiti walienda mbali Sana na kusema kwamba yale maeneo iliyotumika hata pakipandwa nyanya ukizifanyia utafiti...
  12. Equipment

    Msaada

    Wapi hujaelewa mkuu
  13. Equipment

    Msaada

    Habari wakuu naombeni msaada wa link itakayoniwezesha kudownload video kwenye kompiyuta, pia iwe inauwezo wa kucheza kwenye deki za kaweida
  14. Equipment

    Vitambi vya wanawake vinasababishwa na nini ?

    Chukua mfuko wa plastic ukaenao karibu na ndoo ya maji then Anza kuchota yale maji na kumwaga mle kwenye mfuko utaona matokeo yake utaanza kuvimba na kutuna je ulisha wahi kuona binti kigori akiwa na kitambi kama jibu ni hapana basi tambua kwamba maji ya wanaume yameifanya hiyo mifuko itune we...
Back
Top Bottom