Recent content by Equilibriums

  1. E

    Pombe sio chai. Nililala mwenyewe nimeamka na Mama mwenye nyumba, tunashangaana!

    Kazi ya valuuuuu! Inasafisha memori. Kuna siku nimetwika valuu, konyagi na Serengeti. Sikumbuki nilifikaje geto na mguu unavuja dam huku mlango sikuufunga hata Kwa pazua. Pole mkuu Kwa fedheha hiyo.
  2. E

    Mshahara na mafao ya diwani ni shilingi ngapi?

    40% ya mishahara yote.
  3. E

    UTABIRI: Upinzani utapata zaidi theluthi moja ya wabunge 2025

    CCM lazima wadhibiti bunge, watashinda Kwa "njian yoyote". ⅔ lazima waipate. Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  4. E

    Inawezekana mtumishi wa Serikali kulipwa mafao Milioni 10 baada ya miaka 39 kazini?

    Idara Gani mkuu, Kuna mtu analipwa 700,000 kama mshara wake wa juu? Andika ukweli chief
Back
Top Bottom