Mshahara na mafao ya diwani ni shilingi ngapi?

Mshahara na mafao ya diwani ni shilingi ngapi?

Habari wana Jamvi,

Naomba kupewa elimu kuhusu maslahi na personal gain kwa mtu kuwa diwani ni sawa na posho an mishahara wanayopata wabunge?
Mshahara ni Laki 3.


Mafao hayazidi 11M-17M.


Posho mkikaa vikao, haina kiwango maalum, inategemeana na mapato ya Halmashauri yako.

Posho za Madiwani wa Ilala, Kinondoni haiwezi kuwa sawa na posho za Halmashauri uchwara kama Mpimbwe, Kalambo, Kibondo, Rombo, Mlele huko.


Kuna wanatafuta udiwani kibiashara ili kukamata tender, za Halmashauri huko.
 
Hapana ni 25 mkuu hili nina uhakika nalo labda iwe imeshushwa. Yupo raisi mpuuzi alitangazq kushusha mshahara hadharani wajinga wakashangilia wasijue nje ya mshahara familia ya raisi hulipwa ml 70 kwa mwezi kujikimu.
kipindi cha nyuma ilikuwa hiyo aliyosema mdau hapo 15m but now i don't know pay them. how about salary for per month?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom