Wezi waongo...kuna Mdada ameliza watu ktk watsap group kwa kujitambulisha kama maana forex.. Mwisho wa siku akaingia mitin na pesa za watu
Sent from my thl 2015A using JamiiForums mobile app
Acha uongo...kuna utaratibu umeandaliwa kwa wasiokuwa nacho...sizan kama ww ni muhusika...pia deadline ni 15 July...
Acha kuishi kwa tetesi
Sent from my thl 2015A using JamiiForums mobile app
Jaman mm nimekaa usiku kucha nawaza ni nini shida...lkn nikapata wazo ...HV mnakumbuka kipind flan polis waliua majambaz mkuranga na kisha kukamata silaha??? Je swali langu lipo hapa kile kias cha fedha kilikuwa sahihi kilichokamatwa na kilichotangazwa? Au polisi wetu walifanya figisu ambazo...
Huyu jamaa tulikaa nae nyumbani...alitudanganya anashida sana na alikaa nyumbani almost two year.,.na alituambia amesoma south Africa chuo kinaitwa wega
Mwanangu one year now...ameonyesha kupenda sana mziki akisikia wimbo wa jux hapalaliki....anaimba na kupiga kelele ....na akiwa amelala akisikia tangazo LA airtel money lzm aamke acheze kwanza ndio alale tena....yan nafurah sana kuona vituko vyake
Unajua vizur bei za Viatu vya kiume??? Labda kama unavaaga yeboyebo ndio utapata kwa elfu mbili. Lkn mwanaume yyt anayejua maana ya Viatu...hyo bei ni sawa na bure kwa Viatu og
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.