Recent content by Ephan

  1. Ephan

    TACAIDS imesema vijana wa Kike 72 wenye umri kati ya miaka 15 hadi 24 huambukizwa UKIMWI kila siku Tanzania

    Mkuu takwimu hazieleweki vipi au wewe ndiyo haujaelewa, watu 72 wenye umri wa miaka 15- 24 kila siku huambukizwa ukimwi nchini, kipi hakieleweki hapo?
  2. Ephan

    Zitambue benki kuu za nchi mbalimbali zilizo kiganjani mwa familia tajiri duniani

    Hapa sijaelewa kabisa umiliki wa hii familia kwa hizi bank kuanzia Bank of Afghanistan.................hadi BOT
  3. Ephan

    Bidhaa za Viwanda bei juu. Bidhaa za Wakulima bei chini. Umasikini kutamalaki

    Zitto, Mkuu toa mifano hai na si mifano iliyokufa, kipindi hiki ni kipindi cha mavuno ni lazima mazao yashuke bei.
  4. Ephan

    Maajabu: Kichwa cha treni kilichookotwa bandarini ndio kimepata ajali Kigoma. Hivi kumbe walishanunua kimya kimya?

    Katika vichekesho vya nchi yetu na hiki nacho ni kimojawapo.
  5. Ephan

    Uzinzi umeniponza. Ningebaki nyumbani leo haya yasingenipata!

    Hainaga makombo hiyo, kosa ulilofanya ni kut^^ba dry
  6. Ephan

    Mke wangu hajui kuzungusha kiuno kabisa kunako sita kwa sita sijui nimfukuze

    Beira boy, huyu anafaa sana maana anaonekana hajatumika sana kama hajui hata kuzungusha kunako sita kwa sita, mfundishe atakuwa sawa
  7. Ephan

    Chimbuko la ugaidi duniani ulipoanzia mpaka sasa hivi ulipofikia.

    Hapo ndyo mtoa maada sikumuelewa anapoongelea Urusi tu ndyo founder wa ugaidi hakuongelea USA, na makundi ya kigaidi yaliyoanzishwa na Marekani yako wazi kama Al qaida
  8. Ephan

    Kipindi cha Tanzania mpya TBC: Katiba ibadilishwe Rais atawale miaka 20

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] asante kwa kuniongezea siku za kuishi
  9. Ephan

    Rais angepata taarifa ya kura ya UN kuhusu Jerusalem,angemuunga mkono Trump. Ujuaji wa Wizara ndio umetuponza

    Kwanza nipo hapa siyo kwa ajili ya kubishana, na inavyoelekea ujui kitu kuhusu ushoga marekan, ni kweli Trump anapinga ushoga kama yeye binafsi siyo marekani, hiyo misaada ya marekani imetusadia nini toka waanze kutusaidia kuna nchi ngapi ambazo hazikusaidiwa na marekani na wana uchumi kutuzidi...
  10. Ephan

    Rais angepata taarifa ya kura ya UN kuhusu Jerusalem,angemuunga mkono Trump. Ujuaji wa Wizara ndio umetuponza

    Sijakuelewa mliganisho wa Botswana Pula na Tanzania Sh unamanisha nn? Unasemaje kuhusu homosexeuality tufuate kwakuwa USA kasema
  11. Ephan

    DR Congo: Makazi ya Rais Joseph Kabila yateketezwa kwa moto

    Ni bora askar wetu watoke tu huko warudi nyumban, hiyo nchi tangu ipate uhuru aijawahi kuwa na amani, hiyo operation ya UN haiwez kuisha huko kila Rais atakayeingia madarakan atapingwa tu, na waasi wataendelea na vurugu
  12. Ephan

    Rais angepata taarifa ya kura ya UN kuhusu Jerusalem,angemuunga mkono Trump. Ujuaji wa Wizara ndio umetuponza

    Kwahiyo kila anachokisema trump sisi lazima tukifuate, huo ni ujinga, lazima muonshe msimamo mfano kama Botswana licha ya kupinga kwa kura bado wameiandikia barua USA kuwa wasiwatishe
  13. Ephan

    Rais angepata taarifa ya kura ya UN kuhusu Jerusalem,angemuunga mkono Trump. Ujuaji wa Wizara ndio umetuponza

    Wew unadhan issue kama hiyo anaweza waziri kama waziri akatoa msimamo wa nchi bila Raisi kujua?
Back
Top Bottom