Rais angepata taarifa ya kura ya UN kuhusu Jerusalem,angemuunga mkono Trump. Ujuaji wa Wizara ndio umetuponza

Napoleone

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
10,087
15,960
Nmeona taarifa trump kampa mwaliko kenyata ,kama kenya m1 wa washirika wake,..sasa sis wa tz kujifanya kupiga kura kupinga ishu ya jerusalem,na wakat bwana tilampu alishaonya,wala hatukuangalia tuna risk gan,na wakat msaada mkubwa tunatoa kwa hawa mabwana,sjaelewa kabsa,..nna hisia,ile kura tanzania tulipiga bila kushirikisha au kumshirikisha mkuu wa nchi,..nna hisia waziri kwa mamlaka yake alihizinisha ile kura kupigwa...sasa itatutokea puani walah,huwez shindana na watu wenye grand plan zao,ule mji laziima utakua capital tuu,iwe isiwe..sasa sis ilibid tuangalie tunafaidika vp na kura ile,wakenya wenzetu haoo,.haya kalagabahoo
 
Hakuna kinachofanyika bila kuamuliwa na mtukufu.Bahati mbaya he's completely ignorant about international diplomacy. Matumizi ya nguvu ni mengi kuliko akili
Na hayo mengne yanayofanyika kila siku bila yeye kujua je unayaongeleaje?mi nauhakika hili hakulijua kabsaa,..mbona meng tuu yanafanyika bila rais kujua,
 
Agustino Mahiga PHD ni mwanadiplomasia aliebobea katika nyanja hiyo siyo tu hivyo bali pia ni kachero mkufunzi katika mambo ya diplomatic tukiweka siasa kando ni mwanasiasa moja hodari sana tusimlaumu,

Suala la Israel na Palestina tusimbebeshe lawama the one who is responsible for this is deceased JKN . Sasa kumlaumu wakati aliandaa yote udongo ulishamfukia ni uonevu tu.
 
Hakuna kinachofanyika bila kuamuliwa na mtukufu.Bahati mbaya he's completely ignorant about international diplomacy. Matumizi ya nguvu ni mengi kuliko akili
I salute you comrade. Well said.
 
Na hayo mengne yanayofanyika kila siku bila yeye kujua je unayaongeleaje?mi nauhakika hili hakulijua kabsaa,..mbona meng tuu yanafanyika bila rais kujua,

Hahahaha! Viherehere bwana!
 
Na hayo mengne yanayofanyika kila siku bila yeye kujua je unayaongeleaje?mi nauhakika hili hakulijua kabsaa,..mbona meng tuu yanafanyika bila rais kujua,
I do assure you with reasonable doubt that his subordinates can't do anything without his wish/go ahead
 
Agustino Mahiga PHD ni mwanadiplomasia aliebobea katika nyanja hiyo siyo tu hivyo bali pia ni kachero mkufunzi katika mambo ya diplomatic tukiweka siasa kando ni mwanasiasa moja hodari sana tusimlaumu,

Suala la Israel na Palestina tusimbebeshe lawama the one who is responsible for this is deceased JKN . Sasa kumlaumu wakati aliandaa yote udongo ulishamfukia ni uonevu tu.
Sikubalian nawew,kwan hyo kura imepigwa lini?kwan kulikua na tatzo gan kupiga kura ya ndio au ya non aligned.hii ishu mzigo ni wa mahiga,..
 
Agustino Mahiga PHD ni mwanadiplomasia aliebobea katika nyanja hiyo siyo tu hivyo bali pia ni kachero mkufunzi katika mambo ya diplomatic tukiweka siasa kando ni mwanasiasa moja hodari sana tusimlaumu,

Suala la Israel na Palestina tusimbebeshe lawama the one who is responsible for this is deceased JKN . Sasa kumlaumu wakati aliandaa yote udongo ulishamfukia ni uonevu tu.
angelikuwa mwanadiplomasia aliyebobea angenyamaza kimya asiwe upande wowote, alichokifanya ni kujipendekeza na bahati mbaya hakuna hata aliyempongeza. wahehe ni washamba sana aisee.
 
I do assure you with reasonable doubt that his subordinates can't do anything without his wish/go ahead
Bas hujaijua tanzania vzuri wew,..we havent reached such government standards,et za order na maamuzi yanayofanyika ya corelate?hapana.na ndomana bunge/spika aliitambua jerusalem,.mambi meng sana nchi hii kila ofis inafanya kivyake,na ndo chanzo cha madudu meeng
 
angelikuwa mwanadiplomasia aliyebobea angenyamaza kimya asiwe upande wowote, alichokifanya ni kujipendekeza na bahati mbaya hakuna hata aliyempongeza. wahehe ni washamba sana aisee.
Naaam.kumbe umeliona hili,angekaa kimyaa,non-aligned,..wala sio dhambi,..na mi nahis kuna vibahasha vilipita mule ndani,maana waarab honga yao si ya kitoto,unaanza hongwa kuanzia Bil.1
 
Nmeona taarifa trump kampa mwaliko kenyata ,kama kenya m1 wa washirika wake,..sasa sis wa tz kujifanya kupiga kura kupinga ishu ya jerusalem,na wakat bwana tilampu alishaonya,wala hatukuangalia tuna risk gan,na wakat msaada mkubwa tunatoa kwa hawa mabwana,sjaelewa kabsa,..nna hisia,ile kura tanzania tulipiga bila kushirikisha au kumshirikisha mkuu wa nchi,..nna hisia waziri kwa mamlaka yake alihizinisha ile kura kupigwa...sasa itatutokea puani walah,huwez shindana na watu wenye grand plan zao,ule mji laziima utakua capital tuu,iwe isiwe..sasa sis ilibid tuangalie tunafaidika vp na kura ile,wakenya wenzetu haoo,.haya kalagabahoo
Kwahiyo kila anachokisema trump sisi lazima tukifuate, huo ni ujinga, lazima muonshe msimamo mfano kama Botswana licha ya kupinga kwa kura bado wameiandikia barua USA kuwa wasiwatishe
 
Nyerere aliwafukuza waisrael nchini waliokuwa wanajenga hospitali ya bugando jijini mwanza na waliondoka hata hawajamaliza kuijenga kama ilivyotakiwa ila kulingana na uonevu wa wayahudi dhidi ya wapalestina mwalimu hakupenda dhuluma
 
Kwahiyo kila anachokisema trump sisi lazima tukifuate, huo ni ujinga, lazima muonshe msimamo mfano kama Botswana licha ya kupinga kwa kura bado wameiandikia barua USA kuwa wasiwatishe
Nenda kaangalie thaman ya pesa ya botswana na shil.ya tz ndo uje hapa na porojo zako,wanaharakat skuzote hufa maskin,unaleta harakat akat una njaa.we ukipiga kura ya kutofungamana na upande uta loose nin?ugomvi wa kule ni wa leo? Kwa hisani ya watu wa marekani ziko ngapi tanzania hapa?af unaleta jeur.tumien akili..na ndomana hata migomo ya mashulen na vyuona wazaz wenye akil wanawambia watoto wao,ukiona mgomo usishirik,rud nyumban,sabab wanafaham,u cant go against the grand plan.
 
angelikuwa mwanadiplomasia aliyebobea angenyamaza kimya asiwe upande wowote, alichokifanya ni kujipendekeza na bahati mbaya hakuna hata aliyempongeza. wahehe ni washamba sana aisee.
Tatizo ni Nyerere's legacy hivi nyie mna umri gani ?
Sikubalian nawew,kwan hyo kura imepigwa lini?kwan kulikua na tatzo gan kupiga kura ya ndio au ya non aligned.hii ishu mzigo ni wa mahiga,..
Nyerere aliwaaminisha watu vitu vingine ambavyo mpaka leo hamna mtawala ambae atacross huo mstari . Kwa suala hili Mahiga is less concern take it from me.
 
Back
Top Bottom