shujaa zito kabwe..hakika leo usiku watu hawalali, leo ni mchezo wa kombolela aidha mawaziri husika wajiuzulu na kumuepusha mzee pinda na kikombe au pinda atolewe kafara, patamu hapo, naamini kabisa kesho zitapatikana sahihi zote 70.
Hivyo jumatatu ni kura ya kutokuwa na imani.........mawaziri...
Unaweza kufikiria ni utani vile...Hospitali teule ya Tumbi inayohudumia mikoa ya Dar, Pwani, Morogoro,Iringa na karibu asilimia 8% ya majeruhi wote wanaopata ajali ktk barabara ya Dar -Moro- Dodoma eti haina kifaa cha X-ray!!!!!!!!!!
jamani yaani mwaka mzima, Rais yupo, waziri mkuu yupo, waziri...
hakika hapa ndipo wamedhihirisha wazi jinsi gani wnavyotafuna kodi zetu bila faida.....
sio sahihi kabisa kwa kutolipa uzito suala hili...angekuwa mbunge wa CCM ungesikia kauli kuanzia IGP, CHAGONJA, WAZIRI WA MAMBO YA NDANI.
TUTAFIKA TU IPO SIKU....TIME WILL TELL:A S shade:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.