Recent content by enzyme

  1. E

    Nataka kununua NISSAN EXTRAILL

    Mkuu,engine za xtrail ni vimeo sana. Zikisha korofisha kidogo tu ndio kufa kwake..plus spare ni expensive kama alivyosema mdau hapo. Ulaji wa mafuta ni wa kawaida tu, approximately 1L/8Km. Ila pia lina space ya kutosha na ni very confortable.
  2. E

    Action movie shot in nairobi - noma sana

    It's a tv series,not a movie.Inaitwa sense8..Directors wa Kenya hawawezi ku pull out such stunts any time soon :)
  3. E

    Naombeni ushauri 'Mini car' gani ya kununua

    Mkuu,kwa vigezo vyako naona options ni hizi; 1. Toyota Rush (1490cc) 2. Suzuki Jimny (660cc) -za kuanzia mwaka 2000+ 3. Mitsubish Pajero mini (660cc) -za kuanzia mwaka 2000+
  4. E

    Kwa Wapenzi wa Filamu za Mapigano (Action Movies)

    Inglourious Basterds
  5. E

    Mbadala wa Kickass Torrent

    Tumia hii mkuu kat.al
  6. E

    Achana na mzungu,nahisi tutashika mkia mpaka kiama

    Tatizo letu ni chakula tu..basi!!
  7. E

    Chorus 10 bora za muda wote katika bongo flava!!

    ..'akwelinaa wee'..
Back
Top Bottom