Recent content by entry

  1. entry

    Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Umefanya maamuzi ya pupaa UTT inakupa kitu cha uhakika kama 1. Kupata pesa yako unapohitaji kwa haraka kuliko hisa mpaka uuze. 2. Gawio la uhakika na unalijua kuliko hisa 3. Usalama wa mtaji wako UTT haishushi thamani ila Hisa inategemea na hali ya soko. In short tuombe mungu iwe nzuri ikiyumba...
  2. entry

    Tuongee ukweli: Soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) haliwezi kukufanya ukawa tajiri kwa mtaji wako mdogo

    Huyu mkuu sijui vipi umepata faida ya 100k. Tupige hesabu hapa. UTT AMIS kupitia liquid fund wanakupa interest ya 1% compounded sasa wewe uliweka kiasi kisichozidi hata laki 8 ndio maana ukapata hiyo laki moja kwa mwaka. Umepotosha au mtaji wako ulikuwa mdogo hapo.
  3. entry

    Askari wa usalama barabarani msiache kuwapiga vibao bodaboda na Bajaj. Hawa vijana wana vichwa vigumu

    Nasikitika nimechelewa kuuona huu uzi nasikitika sana, acha tu niseme broo acha chuki za kishamba
  4. entry

    Kama eneo lako ni asili ya mchanga una faida nyingi sana kwenye ujenzi

    Naweza kumsaidia Nilinunua kiwanja eneo lenye mchanga, hivyo. 1. tofali nilifyatulisha ambapo wastani wa 25,000-30,000 ilinipa tofali 35-45 kwa mchanguo huu. 18,000 cement na usafirishaji 5,000 fundi 2,000 kuchimba mchanga per kiloba cha cement 3,000 maji 15,000 machine ya kufyatulia na vibao...
  5. entry

    Passive Income Haiwezi kukutajirisha - Wanakudanganya.

    Akili bia unaelewa au unalewa? Mantiki ya swali langu sio dhihaka ni kutaka kujua na kuelewa kwa upana zaidi aina ya hizo passive na active income na sio vinginevyo.
  6. entry

    Passive Income Haiwezi kukutajirisha - Wanakudanganya.

    Mkuu forex na fursa zinazoendana na forex (betting) unaziweka katika kundi gani active au passive
  7. entry

    Mfumo wa ajira za polisi mwaka huu una shida gan?

    Wewe acha uongo pasword umeandika wapi wakati mfumo ndio unakupa pasword. Format wameandika ukiandika unavyojua wewe lazima igome Mtanzania unalalamika na kushindwa kuwa serious adi kwenye kitu kinachogusa maisha yako
  8. entry

    Ni eneo gani au sehemu gani naweza kuwekeza Tsh. milioni 1 nikapata 5,000 kwa siku?

    Inawezekana 1. Anabadilisha biashara 2. Kapewa mtaji 3. Anahakikisha taarifa alizonazo zinaukweli. 4. Ushauri Usijenge dhana tofauti na swali uliloulizwa
  9. entry

    Hii Mikopo ya Bajaji sasa imekua kama kausha damu, tuwe makini

    Nilitafsiri vibaya kwasababu ya uandishi uliotumika kuwasilisha na maoni ya walionitangulia na niliweka nia ntajibu kila kitu hapa. kila la kheri mkuu, jitihada muhimu vijana tupambane tutoboe. Jitahidi utafute maarifa ujue aina ipi ya bajaj itakufaa kati ya TVS au RE kwa kifupi kila kitu...
  10. entry

    Hii Mikopo ya Bajaji sasa imekua kama kausha damu, tuwe makini

    Hapana sijachukua.. Ila wapo waliochukua nawajua na wanafanya ndio maana najua baazi ya vitu, alafu mimi ni kijana najua changamoto zetu.. Huu uzi umeanzishwa kwa lengo la kukatisha tamaa wasithubutu kupambana na umaskini ndio maana kila lisilo la kweli najitahidi kulielezea kwa ninachokiona kwa...
Back
Top Bottom