Umefanya maamuzi ya pupaa UTT inakupa kitu cha uhakika kama
1. Kupata pesa yako unapohitaji kwa haraka kuliko hisa mpaka uuze.
2. Gawio la uhakika na unalijua kuliko hisa
3. Usalama wa mtaji wako UTT haishushi thamani ila Hisa inategemea na hali ya soko.
In short tuombe mungu iwe nzuri ikiyumba...
Huyu mkuu sijui vipi umepata faida ya 100k. Tupige hesabu hapa.
UTT AMIS kupitia liquid fund wanakupa interest ya 1% compounded sasa wewe uliweka kiasi kisichozidi hata laki 8 ndio maana ukapata hiyo laki moja kwa mwaka. Umepotosha au mtaji wako ulikuwa mdogo hapo.
Naweza kumsaidia
Nilinunua kiwanja eneo lenye mchanga, hivyo.
1. tofali nilifyatulisha ambapo wastani wa 25,000-30,000 ilinipa tofali 35-45 kwa mchanguo huu.
18,000 cement na usafirishaji
5,000 fundi
2,000 kuchimba mchanga per kiloba cha cement
3,000 maji
15,000 machine ya kufyatulia na vibao...
Akili bia unaelewa au unalewa? Mantiki ya swali langu sio dhihaka ni kutaka kujua na kuelewa kwa upana zaidi aina ya hizo passive na active income na sio vinginevyo.
Wewe acha uongo pasword umeandika wapi wakati mfumo ndio unakupa pasword.
Format wameandika ukiandika unavyojua wewe lazima igome
Mtanzania unalalamika na kushindwa kuwa serious adi kwenye kitu kinachogusa maisha yako
Nilitafsiri vibaya kwasababu ya uandishi uliotumika kuwasilisha na maoni ya walionitangulia na niliweka nia ntajibu kila kitu hapa. kila la kheri mkuu, jitihada muhimu vijana tupambane tutoboe.
Jitahidi utafute maarifa ujue aina ipi ya bajaj itakufaa kati ya TVS au RE kwa kifupi kila kitu...
Hapana sijachukua.. Ila wapo waliochukua nawajua na wanafanya ndio maana najua baazi ya vitu, alafu mimi ni kijana najua changamoto zetu.. Huu uzi umeanzishwa kwa lengo la kukatisha tamaa wasithubutu kupambana na umaskini ndio maana kila lisilo la kweli najitahidi kulielezea kwa ninachokiona kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.