Recent content by enjai ya kyasha

  1. enjai ya kyasha

    Pishi la usiku wa manane: Nimepata hamu ya kitumbua kilichojaa mafuta

    nkajua unamaanisha kitumbua kumbe ni kitumbua
  2. enjai ya kyasha

    Vijana leo tuongee kuhusu kujipa kipaumbele na uwekezaji binafsi

    sio wanawake tu hata kuwekeza kwenye pombe kunaua malengo
  3. enjai ya kyasha

    Ni kwamba sura ya Nyerere ni abstract sana au mwenyewe hataki?

    we ndo utakua umelewa, ye kaongelea picha za kuchora na kuchonga.i
  4. enjai ya kyasha

    Ni kwamba sura ya Nyerere ni abstract sana au mwenyewe hataki?

    we ndo utakua umelewa, ye kaongelea picha za kuchora na kuchonga
  5. enjai ya kyasha

    PICHA: Tundu Lissu anavaa kishamba sana utafikiri wanasiasa wa wakati wa ukoloni

    Lisu ameoa, au unataka kuwa mke wa pili? Sema ni mkatoriki sheria hairuhusu.
  6. enjai ya kyasha

    DC Nzega aagiza kukamatwa kwa mkuu wa chuo cha madini kwa kumdharau RC Tabora

    Huyu mkuu wa mkoa atakua na shida, juzi kagombana na mtu wa GPSA leo tena mkuu wa shule. Ina maana wa kudharauliwa amekua yeye tu?
  7. enjai ya kyasha

    Umaskini ndani ya utumishi wa umma

    Maneno haya sio mageni hapa JF labda kwa wageni wa forum hii.
  8. enjai ya kyasha

    Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

    Hiyo inatokeaga mara kibao cha kufanya we kula buyu kama hujui lolote.
  9. enjai ya kyasha

    Mchakato wa ajira za ualimu mwaka 2025 si wa haki, umekaa upendeleo

    sasa mkuu hata weww ungepewa ufanye hilo zoezi ungefanyaje tofauti na kuwafanyia waombaji usaili. kumbuka kila mtu ana sifa stahiki sasa utachukua vigezo gani kuwachuja bila kufanya usaili ili kuwapata walio bora zaidi?
  10. enjai ya kyasha

    Mchakato wa ajira za ualimu mwaka 2025 si wa haki, umekaa upendeleo

    sasa mkuu kama hujasoma guidance and counseling umekuwaje mwalimu?.
Back
Top Bottom