Recent content by enjai ya kyasha

  1. enjai ya kyasha

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    asante kwa taarifa.
  2. enjai ya kyasha

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    simu hawapokei ndugu inaita hata saa zima hawapokei nmeshatuma email nyingi ila hawarespond
  3. enjai ya kyasha

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    sekretariet ya ajira
  4. enjai ya kyasha

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    nashukuru kwa majibu yako naomba usichoke kunielekeza. Je?, utumishi hawana ofisi huku mikoani tofauti na Dodoma?
  5. enjai ya kyasha

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    naomba kuuliza wana JF mimi account yangu ya ajira portal ili collapse kwa maana kwamba siwez kulog in siwezi kufanya chochote. Kabla ya hilo tatizo nilifanya oral interview ya kazi fulani, sasa naomba kuuliza je,? ikitokea nimepangiwa kituo cha kazi naweza kuipataje barua maana siwezi kuingia...
  6. enjai ya kyasha

    JamiiForums Tanzania Mlioko kwenye ndoa mnanizidi nini katika mazingira haya!

    na hana akili pia
  7. enjai ya kyasha

    JamiiForums Tanzania kuwaza ngono ni upumbavu.

    umechapiwa et
  8. enjai ya kyasha

    JamiiForums Tanzania SIAFIKI utaratibu wa watu kula msibani

    mfiwa atakua huwa hahudhurii misiba ya watu
  9. enjai ya kyasha

    JamiiForums Tanzania SIAFIKI utaratibu wa watu kula msibani

    Hata mie nashangaa et mfiwa anachimba mashimo ya kuweka mahema
  10. enjai ya kyasha

    JamiiForums Tanzania Siri imefichuka Yanga anafanyiwa hujuma ili kusudi Simba achukue ubingwa angalau mzani ubalance

    kwamba kuna kiongozi wa TFF ameingia leo uwanjani kuwafungia Dodoma jiji.
  11. enjai ya kyasha

    JamiiForums Tanzania Nguvu zitokanazo na kutokufanya mapenzi kwa muda mrefu(celibacy)

    mwaga moto tema moto kama dragon🔥🔥🔥🔥🔥🔥
  12. enjai ya kyasha

    JamiiForums Tanzania Huku ndiko tulikofikia sasa Wanaume wa Kiafrika. Acheni tu tudharauliwe pamoja na Bara letu zima

    Ye jamaa yuko kwenye upigaji 50 za watu zimelambwa shwaaa jamaa anaongeza ukwasi af kesho anakuja kuwatukana hao hao kwamba tafuteni pesa
Back
Top Bottom