Recent content by ENI

  1. E

    Natafuta kazi nimesomea uhasibu ngazi ya degree

    Asanteni sana kwa mlionisaidia Mungu awabariki sana. Thank you........!!!
  2. E

    Natafuta kazi nimesomea uhasibu ngazi ya degree

    Hellow wanajamiiforum mimi natafuta kazi nimesomea uhasibu ngazi ya degree nipo Dar es salaam. Hata kama ni internship au kujitolea katika kampuni yoyote ile asante natanguliza shukrani kwa mawasiliano zaidi 0759554943. Asante sana
  3. E

    Unahitaji mfanyakazi bora??atakayebadilisha na kukuvusha zaidi?

    Unaonekana mkatishaji tamaa mzuri sana wewe.
  4. E

    Unahitaji mfanyakazi bora??atakayebadilisha na kukuvusha zaidi?

    Hapo niliondoka kwa kuna ilinibidi.yaaani ilijua ni lazima niondoke
  5. E

    Unahitaji mfanyakazi bora??atakayebadilisha na kukuvusha zaidi?

    .kwan wewe ukiandikaga barua za kazi hua haujinadi??Wazima utoe Maelezo yakinifu bwana.
  6. E

    Unahitaji mfanyakazi bora??atakayebadilisha na kukuvusha zaidi?

    Hey una kampuni kubwa? au je wafanyakazi wana kusumbua? wasiliana nami, ni mfanyakazi mzuri ambaye kama ukinipata mambo ya kampuni yako lazima yabadilike, ni mwaminifu, mchapakazi, mtu makini,jasiri,n.k. Nimesomea uhasibu(degree), japo kazi zote naziweza, nimefanya kazi mahali nikapewa cheti...
  7. E

    Natafuta Wahasibu 3 na Customer services 3

    Ngoja nitume boss
  8. E

    Nafasi za kazi za accountants

    Anuani yao , ni IPI maana najaribu kuwaserch mtandaoni tzcpca, haipo. Ntapataje adres na JINA lao.
  9. E

    Kairuki: Ubungo itapata watumishi wapya 397

    Hallow, znatoka lini jamani
Back
Top Bottom