Hey una kampuni kubwa? au je wafanyakazi wana kusumbua? wasiliana nami, ni mfanyakazi mzuri ambaye kama ukinipata mambo ya kampuni yako lazima yabadilike, ni mwaminifu, mchapakazi, mtu makini,jasiri,n.k.
Nimesomea uhasibu(degree), japo kazi zote naziweza, nimefanya kazi mahali nikapewa cheti cha appreciation na bado hawakutaka niondoke ila ilinibidi tafadhali na karibu inbox.
Nimesomea uhasibu(degree), japo kazi zote naziweza, nimefanya kazi mahali nikapewa cheti cha appreciation na bado hawakutaka niondoke ila ilinibidi tafadhali na karibu inbox.