Atakuwa alianzia ngazi ya cheti akaamua kuunga hadi degree mvumilieniYaan kwa elimu yako na reply zako ni inversely proportional! Umeambiwa just give out your profile (CV) out of your field (accountant) unasema huelewi! Kweli tutakua na Tanzania ya viwonder kama wasomi wenyewe ndio kama hawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipende kutetea kila kitu hata usichokifahamu, unitoea kwa mamlaka gan hata kama ungekua nayo. Au umekua mtetezi wa waomba kazi humu jf? Eti post zako nisi comment wew ni special sana humu au? Usingeanza kuni quote kama nakukera..!Kiukweli laiti ningekuwa namamlaka kutoa watu humu wewe wakwanza mbona comments zako zote unaponda wenzio aiseeee Mimi naomba post zangu zipite kama huzioni ataniandike uharisho pita unakera
Sent using Jamii Forums mobile app
Fa.la sana wewe...mshauri kijana pale akoseapo ili afanikiwe..na ndio hulka ya wana Jf.na si kuleta porojo zako kama bwa.bwaUsipende kutetea kila kitu hata usichokifahamu, unitoea kwa mamlaka gan hata kama ungekua nayo. Au umekua mtetezi wa waomba kazi humu jf? Eti post zako nisi comment wew ni special sana humu au? Usingeanza kuni quote kama nakukera..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Your matured enough ndio nn mkuu...Jiulize kwanin nachallenge jukwaa la kazi/ajira na sio kwingine..! Think twice your matured enough
Sent using Jamii Forums mobile app
nataka nimuulize "experience" yake hapa, maana tangazo lake halijitoshelezi hata..Hawa ndio wasomi wetu wa ngazi ya degree! Kujidadafua/kujieleza zero kabisa ( kuna jamaa mmoja yuko Arusha alikua anaomba kazi kajieleza from the beginning to the end very grammatical na ameishia form two tu, miaka 19 mpaka watu wanashangaa kama ameishia form two na ana huo umri,
Sasa wew na usomi wako degree yako hiyo unakuja kutuandikia heading ili uanze kuulizwa maswali ama?
Tatizo la ajira litaendelea kuwepo na degree kichwan
Sent using Jamii Forums mobile app
sio kama anawivu, anamsaidia....hutaweza kuzuia watu wasipate wanachotaka ndugu kila MTU akijaribu kuomba kazi we unakua MTU wa kumkatisha tamaa ......una wivu sana
We ulishawahi kusaidiwa kwa mtindo huosio kama anawivu, anamsaidia....
claytonx, jua binadamu tunatofautiana sana....kila mtu ana njia zake kufikisha ujumbe,We ulishawahi kusaidiwa kwa mtindo huo
OKclaytonx, jua binadamu tunatofautiana sana....kila mtu ana njia zake kufikisha ujumbe,
ndio, mimi nimewai kusaidiwa kwa mtindo huo wa kukosolewa mara nyingi tu.
huyo ni "your" matured enough kabisaJiulize kwanin nachallenge jukwaa la kazi/ajira na sio kwingine..! Think twice your matured enough
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umejiunga na shoga yako kunishambulia..wanaume kama hamtakiwi humu uzwazwa umekujaa, au maku, makuzi.Fa.la sana wewe...mshauri kijana pale akoseapo ili afanikiwe..na ndio hulka ya wana Jf.na si kuleta porojo zako kama bwa.bwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatununui mashoga humu...naona ushazoea kukaa vibarazani na dada zako....utaning'inia kwenye u.bo...ooNaona umejiunga na shoga yako kunishambulia..wanaume kama hamtakiwi humu uzwazwa umekujaa, au maku, makuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Makuzi yanakusumbua ukihama kwa shemeji yako utaacha kufuatilia wanaume.Hatununui mashoga humu...naona ushazoea kukaa vibarazani na dada zako....utaning'inia kwenye u.bo...oo
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha zarau kijana tena hao walio anza na cheti mpaka degree ni wazoefu wazuri kuliko wewe unayejiona una akili sana...Atakuwa alianzia ngazi ya cheti akaamua kuunga hadi degree mvumilieni
sending using jamiiforum makinikia